Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,186
- 30,866
sina haja ya kujibiwa gentleman,Acheni kujibizana na hilo tahira!! Akiandika msipomjibu ujinga wake ataona amedharaulika.
nikishaeleza ukweli , chukieni na mkaufanyie kazi.
mengine ni msisitizo tu.
so, huna sababu wala haja ya kunijibu chochote kwenye koment au hoja zangu.
muhimu sana ni kuchukua mawaidha hayo ukayafanyie kazi na wenzako pamoja na chama chako 🐒