John Heche amkosha Farhia Middle!

John Heche amkosha Farhia Middle!

We ni mke wake mpaka ujue hayuko sawa? No reforms no election.
relax gentleman, tuliza mihemko tu hakuna haja ya makasiriko,

huyo muungwana asaidiwe kiafya na kwakweli itapendeza zaidi na atakua akasaidiwa jambo la maana sana 🐒
 
Katika siku ambazo Farhia Middle wa ITV hatazisahau ni leo wakati akifanya mahojiano na Makamu Mwenyekiti wa Chadema katika kipindi cha dakika 45!

Farhia ameshiba majibu ya maswali yote aliyouliza hadi akashindwa kuuliza maswali ya nyongeza!

Hakika kwa viongozi hawa wa Chadema wakiongozwa na Mwenyekiti Lissu mambo ni 🔥!
Tuwe tunashtuana jamani.kuchek.mambo mazuri
 
Are you shure hayuko? Kaa kwa kutulia bro. Si kila jambo ni la ku comment, sometimes una comment ujinga
Physically and mentally inaonekana kuna tatizo kwa huyo muungwana, na kupuuzia jambo la maana kama hilo ni kumuumiza.

Ukweli usemwe tu japo ni mchungu na unaamsha mihemko sana 🐒
 
sema lolote khs facial expressions ya Stevin Wasira!
gentleman,
jikite kwenye hoja mahususi mezani hakuna haja ya kubabaika, huyo mjamaa anaehitaji kusaidiwa,

for sure,
the gentleman is going through some physical and mental issues 🐒
 
relax gentleman, tuliza mihemko tu hakuna haja ya makasiriko,

huyo muungwana asaidiwe kiafya na kwakweli itapendeza zaidi na atakua akasaidiwa jambo la maana sana 🐒
Wewe ni mke wake hadi ujue kuwa hayupo sawa? Mbona swali rahisi tu kujibu?
 
..John Heche kitaaluma ni mwalimu.

..hivyo ni sahihi kumuita Mwalimu John Heche.
 
heche kuna vitu anapitia saikolojikali na mentally ee?

maana body languages, tone na facial expressions ni kama kabisa hayuko sawa kuna vitu vigumu mno na vizito anapitia 🐒
Heche wa ccm ati ni Mzee wasira, ccm akili zenu mnazijua wenyewe,
Hivi mkuu uzi wenu mpya ambao umechanganya rangi kama nguo ya Mganga wa kienyeji ,ndo wenyewe au bado designer yupo kazini
 
Physically and mentally inaonekana kuna tatizo kwa huyo muungwana, na kupuuzia jambo la maana kama hilo ni kumuumiza.

Ukweli usemwe tu japo ni mchungu na unaamsha mihemko sana 🐒
Kwamba umegeuka mtaalam wa afya? Politician wa jf bwana 😂😂😂
 
Back
Top Bottom