John Bolton, Mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa nchini Marekani ashtakiwa

FRANC THE GREAT

JF-Expert Member
May 27, 2016
5,416
7,828
Habari!

Serikali ya Marekani chini ya rais Donald Trump imemshitaki mshauri mkuu wa zamani wa usalama wa taifa, John Bolton, ili kuzuia kuchapishwa kwa kitabu chake kipya kinachohusu wakati wake alipokuwa katika ikulu ya White House.

1592379750497.png

John Bolton.

Kitabu hicho kilichopewa jina "The Room Where It Happened", kilipangwa kutolewa mnamo 23 Juni lakini kulingana na malalamiko ya kesi hiyo, kitabu hicho kina "taarifa za kiusalama".

Kesi hiyo inafuatia siku moja baada ya Rais Donald Trump kusema kuwa Bolton atakuwa akivunja sheria ikiwa kitabu hicho kitachapishwa.

Kwa mujibu wa Baraza la Usalama la Kitaifa la ikulu ya White House (NSC), kitabu hicho kina vifungu kadhaa ambavyo vina taarifa nyeti za kiusalama za taifa.

Kuchapishwa kwa kitabu hicho "kunaweza kusababisha madhara yasiyoweza kutabirika, kwa sababu kuwekwa wazi kwa taarifa za kiusalama zilizomo ndani ya kitabu hicho kunaweza kuleta uharibifu mkubwa kwa usalama wa kitaifa", kulingana na shitaka.

Charles Cooper ambaye ni wakili wa Bolton amesema kuwa "wanafuatilia kwa ukaribu" kesi hiyo na majibu yatatolewa hapo baadaye.

[Reuters]
 
Afrique tunalakujifunza hapa

Ila DT siaache mzee atoe kitabu mbna anazingua
Sio swala la DT,Bolton alikuwa mshauri wa usalama wa Rais,means alikuwa na security clearance daraja la kwanza..Na aliapa kutunza siri za serikali hata atapokuwa nje ya serikali...Sasa kama hicho kitabu kinaenda tofauti na kiapo chake,we unafikiri ni sawa aruhusiwe tu kutoa??..
Halafu hujaambiwa kila kitu ujifunze marekani,unaweza chukua yanayokufaa kulingana na mazingira uliyopo,mengine ukapiga chini...
Iam sure hata TZ huruhusuwi kuchapisha kitabu chenge siri za serikali,ringht??>.
 
Sio swala la DT,Bolton alikuwa mshauri wa usalama wa Rais,means alikuwa na security clearance daraja la kwanza..Na aliapa kutunza siri za serikali hata atapokuwa nje ya serikali...Sasa kama hicho kitabu kinaenda tofauti na kiapo chake,we unafikiri ni sawa aruhusiwe tu kutoa??..
Halafu hujaambiwa kila kitu ujifunze marekani,unaweza chukua yanayokufaa kulingana na mazingira uliyopo,mengine ukapiga chini...
Iam sure hata TZ huruhusuwi kuchapisha kitabu chenge siri za serikali,ringht??>.
Ahnsate MKUU ila hapa nlokusudia nikwamba viongozi wengi wa Afrika nikwamba huwa hawashitakiki wanakua juu yasheria wakiwa katika mamlaka nabaada.....
 
Kesi aipo clear sana kwa nini Trump anataka kuzuia, ni personal issues au security concerns kama anavyodai.

Kwa taratibu za marekani senior security advisors au watu wanaoshika nafasi sensitive za usalama kabla ya kuchapisha vitabu vinavyohusu maswala ya kazi, manuscript lazima kwanza itumwe kwenye vyombo vya ulinzi (National Security Council) kabla mtu yeyote ajasoma kama kuna sensitive issue zozote lazima zifutwe ndio mtu mwingine aruhusiwe kusoma.

That is according to Michael Hayden wakati anaojiwa kwenye Hardtalk baada ya kutoa kitabu chake.

By the time manuscript inamfikia publisher hadi kuchapishwa kwa kitabu ujue kilichomo kishapata security clearance. Ndio maana hii kesi inachananya bado kwanini administration ya Trump inataka kukizuia.
 
Kesi aipo clear sana kwa nini Trump anataka kuzuia, ni personal issues au security concerns kama anavyodai.

Kwa taratibu za marekani senior security advisors au watu wanaoshika nafasi sensitive za usalama kabla ya kuchapisha vitabu vinavyohusu maswala ya kazi, manuscript lazima kwanza itumwe kwenye vyombo vya ulinzi kabla mtu yeyote ajasoma kama kuna sensitive issue zozote lazima zitoke ndio mtu mwingine aruhusiwe kusoma.

That is according to Michael Hayden wakati anaojiwa kwenye Hardtalk baada ya kutoa kitabu chake.

By the time manuscript publisher anasoma let alone hadi kuchapishwa kwa kitabu ujue kilichomo kishapata security clearance. Ndio maana hii kesi inachananya bado kwanini administration ya Triump inataka kukizuia.
Nasikia jamaa kasema kama DT anapigwa taff na UCHINA kuingia WH itakua ndio sababu jamaa akatia figisu

Ila DT ashinde tu mambo yawe sawa
 
Nasikia jamaa kasema kama DT anapigwa taff na UCHINA kuingia WH itakua ndio sababu jamaa akatia figisu

Ila DT ashinde tu mambo yawe sawa
Lolote linaweza tokea kumbe ni kama mara ya tatu anajaribu kuzuia vitabu vya ex-employees kuchapishwa.

Mara mbili kashindwa kuzuia inaweza kuwa third time lucky hila kitabu cha Bolton kimepitia mchakato wao wa security’s prescreening apparently.
 
Inasekana Trump alimwomba Rais wa China anunue bidhaa za wakulima toka Marekani ili ajipatie ujiko kwa wakulima aweze kuchaguliwa kwa awamu ya pili...Kitendo kinachotafsiriwa kwamba ni kuomba kusaidiwa kushinda Uchaguzi.
DT anajikaanga kwamafta yake mwenyewe kwani si aliwaekea UCHINA vikwazo mwenyewe kwakujua anawakomoa

Tukisema DT rais wahovyo kunawatu wanapanik
Lolote linaweza tokea kumbe ni kama mara ya tatu anajaribu kuzuia vitabu vya ex-employees kuchapishwa.

Mara mbili kashindwa kuzuia inaweza kuwa third time lucky hila kitabu cha Bolton kimepitia mchakato wao security’s prescreening apparently.
DT mkurupukaji sana anahisi anaweza kua namamlaka yahovyo kama viongozi wengi ama wote waafrika wanavyofanya


Ila ashinde tu Nafasi ijayo amalizie Ngwe yake ilobakia.....
 
DT anajikaanga kwamafta yake mwenyewe kwani si aliwaekea UCHINA vikwazo mwenyewe kwakujua anawakomoa

Tukisema DT rais wahovyo kunawatu wanapanikDT mkurupukaji sana anahisi anaweza kua namamlaka yahovyo kama viongozi wengi ama wote waafrika wanavyofanya


Ila ashinde tu Nafasi ijayo amalizie Ngwe yake ilobakia.....
Uchaguzi wa US ni complicated nakumbuka nilikuwa naangalia episode ya ‘South Park’ kipindi cha uchaguzi uliopita jinsi Donald Trump (played by Mr Garrison) alivyokuwa anatoa majibu ya ovyo kwa makusudi kwenye debate za uraisi halafu Hillary Clinton anashindwa kutumia hiyo fursa kummaliza mpaka jamaa akawa anasema hivi nikusaidie vipi we mwanamke basi akashinda uraisi kama utani (hila utabiri wa South Park is something else).

Kutokona na kilichotokea uchaguzi uliopita anything is possible ideally sane people in US and the world udhani wangetaka kuona Trump anapata second term, but then US electoral college can produce wonders kama uchaguzi uliopita.

Kuna watu wanakubaliana na values zake kutoka visehemu vyenye wapiga kura wachache but still classified as a units of electoral college na ndio waliompa uraisi uchaguzi uliopita.

Kwa ivyo anything is possible in US politics and Triump knows how to please his audience, sitoshangaa akirudi tena.
 
Uchaguzi wa US ni complicated nakumbuka nilikuwa naangalia episode ya ‘South Park’ kipindi cha uchaguzi uliopita jinsi Donald Trump (played by Mr Garrison) alivyokuwa anatoa majibu ya ovyo kwa makusudi kwenye debate za uraisi halafu Hillary Clinton anashindwa kutumia hiyo fursa kummaliza mpaka jamaa akawa anasema hivi nikusaidie vipi we mwanamke basi akashinda uraisi kama utani (hila utabiri wa South Park is something else).

Kutokona na kilichotokea uchaguzi uliopita anything is possible ideally sane people in US and the world udhani wangetaka kuona Trump anapata second term, but then US electoral college can produce wonders kama uchaguzi uliopita.

Kuna watu wanakubaliana na values zake kutoka visehemu vyenye wapiga kura wachache but still constitute as an units of electoral college na ndio waliompa uraisi uchaguzi uliopita.

Kwa ivyo anything is possible in US politics and Triump knows how to please his audience, sitoshangaa akirudi tena.
Yaani katika sehemu ambayo hua sipendi kuitabiria kaka uchaguzi wa US sababu hautabiriki mpaka yakishatoka matokeo

Yaani lolote linaweza tokea kiukweli tuupe tu muda nafasi yake

Ila napenda DT ashinde sio kama namuelewa ila kwasababu simuelewi
 
Back
Top Bottom