Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,738
- 14,637
Exactly the point, plus ile ni sehemu Strategic sana kiusalama: Ukimvuruga Suadi Arabia lazima yamtokee puani maana hatakuwa na kiboko cha kumpigia Mrusi tena. OPEC ni habari nyingine ndugu yangu, kama unakumbuka vizuri miaka ya 1970's Carlos The Jackal alitumiwa sana na KGB kutaka kuwavuruga OPEC hadi kuna kipindi walivamia mkutano na kuteka baadhi ya Mawaziri.Saudi Arabia nafikiri ni strategic ally wa Marekani hasa pale wanapotaka ku manipulate oil price ili kuwadhuru maadui wa marekani kama Russia,Iran n.k.pia Saudia has much to do with oil price ili ku satabilise US Dollar.Ndio maana wanaona is much better kumlea Saudia hata kama amewakosea.
Daaah aiseeh kumbe,Unajua kwenye maisha ili u survive kuna muda unabidi uwe mnafiki sana tu ikibidi.ndo wanafanya hawa Marekani na Urusi.Haya manchi makubwa yanajuana vizuri sana kila mmoja anacheza kwa step.Exactly the point, plus ile ni sehemu Strategic sana kiusalama: Ukimvuruga Suadi Arabia lazima yamtokee puani maana hatakuwa na kiboko cha kumpigia Mrusi tena. OPEC ni habari nyingine ndugu yangu, kama unakumbuka vizuri miaka ya 1970's Carlos The Jackal alitumiwa sana na KGB kutaka kuwavuruga OPEC hadi kuna kipindi walivamia mkutano na kuteka baadhi ya Mawaziri.
Marekani angetumia ubabe kucheza na Saudi Arabia basi lazima ingekula kwake. Sema Henry Kissinger alikuwa na akili nyingi mno akaamua kuwatenge waarabu na Mrusi. Lakini nguvu ya kimkakati ya Saudi Arabia ni kubwa sana, Urusi na ubabe wake wote anacheza kwa makini na Marekani anacheza kwa makini.
Maduro anang'oka before the end of this year.
Siyo rahisi Mrusi kucheza na Marekani kule Amerika Kusini kama anavyocheza kule Syria: Mashariki ya kati ni rahisi sana kwasababu ana washirika wenye nguvu kama Hezbollah na Iran, pia makundi yaloyokuwa yanapigana Syria yalikuwa na ajenda binafsi. Kule America ya Kusini Venezuela ana mpaka wa kilomita kama 2000 na nchi ya Colombia ambapo Marekani anatishia kupeleka vikosi.Mradi Russia ipo pale Maduro atabaki kama ilivyokuwa kwa Assad wa Syria
Duh...kumbe watu wenye Mustache wa hivyo bado wapo duniani? Maduro is in trouble.
'I could hardly believe it when I heard the news today...'
Been listening to Michael Bolton a lot lately...
Mdogo wake Dr ShikaHahah, halafu hili pose lake linaonyesha kabisa kuwa 'He means Business'
Sio kweli mkuu, mfno sasaiv wazungu waseme tunamtoa M7 kwa vyovyote vile mtasema ni mafuta.Nchi yenu ikijaaliwa Oil na Gas ni "Curse", USA, EU na washirika wake watakutafutia visa vya kila aina ili wawe wanai-control wao, shetani kabisa hawa...
John Bolton ni war monger mkubwa sanaaa, muuaji, mpenda damu za watu, ka organise vita vingi sana vya US kuua watu wanaopingana na US..!!
Who is John Bolton, Trump's new national security adviser?
Yeah yeah yule lecture ni mwehuYaani naikumbuka movie ya 3 idiots, MR. VIRU SAHAS PUTE alikuwa na mustache wa hivyo, jamaa msumbufu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee "Za siku kwanza mkuu..?
Kama Nakumbuka vizuri mfalme wa Saudia, king Faisal baada ya hii oil embargo aliuliwa na ndugu yake wa damu, na INASEMEKANA US walikua nyuma ya hiki kifo
Hapo eti ndio katabasamu lakini bado anatisha...hahaaView attachment 1011194
Sent using Jamii Forums mobile app