John Bolton, Mshauri wa Trump kwenye masuala ya usalama adakwa na ujumbe huu "5,000 Troops to Colombia"

Nalendwa

JF-Expert Member
Aug 9, 2016
7,467
13,024
Capture+_2019-01-30-13-34-27.png
Capture+_2019-01-30-17-22-53-1.png
Capture+_2019-01-30-11-48-41-1.png


"5,000 troops to Colombia"

Hiyo ni message kutoka kwenye notepad ya John Bolton Mshauri wa Rais Trump kwenye Usalama, iliyodakwa na Waandishi wa Habari wakati akifanya Press Briefing kuhusu vikwazo vipya kwa Venezuela.

Colombia inashirikiana mpaka na Venezuela..

"..Photos of the note rocketed around Twitter, causing a stir. National Security Council representatives didn’t respond to questions about whether the U.S. is planning to deploy the military to Colombia, which...borders Venezuela, or otherwise explain Bolton’s note.." ~ Bloomberg.
 
View attachment 1009136View attachment 1009137View attachment 1009138

Hiyo ni message kutoka kwenye notepad ya Michael Bolton Mshauri wa Rais Trump kwenye Usalama, iliyodakwa na Waandishi wa Habari wakati akifanya Press Briefing kuhusu vikwazo vipya kwa Venezuela.

Colombia inashirikiana mpaka na Venezuela..

"..Photos of the note rocketed around Twitter, causing a stir. National Security Council representatives didn’t respond to questions about whether the U.S. is planning to deploy the military to Colombia, which...borders Venezuela, or otherwise explain Bolton’s note.." ~ Bloomberg.
Duh...kumbe watu wenye Mustache wa hivyo bado wapo duniani? Maduro is in trouble.
 
WOW! He is very careless.

View attachment 1009136View attachment 1009137View attachment 1009138

Hiyo ni message kutoka kwenye notepad ya Michael Bolton Mshauri wa Rais Trump kwenye Usalama, iliyodakwa na Waandishi wa Habari wakati akifanya Press Briefing kuhusu vikwazo vipya kwa Venezuela.

Colombia inashirikiana mpaka na Venezuela..

"..Photos of the note rocketed around Twitter, causing a stir. National Security Council representatives didn’t respond to questions about whether the U.S. is planning to deploy the military to Colombia, which...borders Venezuela, or otherwise explain Bolton’s note.." ~ Bloomberg.
 
WOW! He is very careless.
:D:D:D:D,Limesahau hadi kufunga Note pad.Ila huenda ana mambo mengi sana kichwani,hii pia humfanya mtu kusahau vitu vidogo vidogo kama hivi.Its common sio kitu kigeni.Hta wewe unaweza kukaa ofisini ukawaza kitu kikubwa na cha uzito,ukashangaa umeamka ghafla na kuondoka ukasahau hadi ku log out creen yako ya computer.
 
Mkuu consigliere

aisee umeona kweli, hata mimi jana wakai naangali al jazeera niliona mustachi huo, aisee nilijiuliza hivyo hivyo, kuwa hivi kumbe bado kuna watu wanafuga mustachi namna hiyo? ha ha haa.
Ni kweli Maduro hachomoi,ingawa sio kwa sbabu ya mustachi bali safari hii kaingia vizuri kwenye kumi na nane za marekani
Anachomoa mkuu maana hapo ni mkwara tu huyo!
kama waki vamia Venezuela basi hii vita tutashuhudia Mambo mengi!
Tuombe avamie!!!
 
Mbinu waliyotumia safari hii imefanikiwa kumkata maduro Mkia,baada tu ya nchi za magharibi kumtambua Dogo kama Rais kuna wapambe maslahi washaanza kuderset kambi ya maduro.Mfano mabalozi wa Venezuela kutoka nchi zinazomtambua Guaido lazima nao wachague upande LA sivyo vibarua vitaota nyasi.Imefikia wakati maduro anataka kuyamaliza mambo kwa njia ya meza ila dogo kachomoa.Watu wanaosema wako nyuma yako ni wa kuwaogopa sana cze wakiona wamezidiwa wanabadilisha gia angani.
 
Back
Top Bottom