Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,008
- 44,837
Kuna wakati kama unachukua notes za haraka haraka kuna maneno yanaweza kuwa yameandikwa kwa muda tofauti kwa na maudhui tofauti lakini yapo kwenye mlolongo mmojaMimi nataka kujua hayo maneno ya juu yake yanasomeka vipi maana Media nazo huwa zinakuza mambo zana.
Hapo mimi naona neno Afghanistan
Sent from my SM using Tapatalk