Jarida la National Interest: Huenda John Bolton akatimuliwa na Trump

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,909
Jarida la National Interest: Huenda John Bolton akatimuliwa na Trump
Mei 15, 2019 14:20 UTC
Jarida moja la nchini Marekani limeandika kuwa, huenda John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa nchi hiyo akapigwa kalamu nyekundu.
Jarida la The National Interest limewanukuu viongozi wawili wa Marekani wakisema kuwa, hatua ya kupenda makuu ya John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa nchi hiyo hasa kutokana na njama zake chafu zilizofeli dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Venezuela na Korea Kaskazini, imemuweka katika safu ya watu ambao huenda wakatimuliwa kutoka White House.
Likimnukuu afisa mmoja wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani jarida hilo limeandika kuwa, kwa sasa Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje anafanya jitihada kubwa zenye lengo la kulinda nafasi yake, lakini Bolton ni mwenye kuchukiwa na wizara hiyo kutokana na kupenda kwake sana uchochezi.
Hayo yanajiri katika hali ambayo siku chache zilizopita, gazeti la Washington Post liliripoti kwamba, Rais Donald Trump wa nchi hiyo ana wasi wasi mkubwa kutokana na hatua za uingiliaji za John Bolton katika masuala ya ndani ya Venezuela ambapo alisema kuwa, Mshauri huyo wa Usalama wa Taifa anaisukuma Marekani kuelekea katika vita na nchi hiyo ya Amerika ya Latini.
Aidha baadhi ya vyombo vya habari nchi Marekani vimewanukuu maafisa wa kitengo cha ushauri ndani ya ikulu ya White House wakisema kuwa, Trump anaonekana kutofurahishwa na stratijia za Bolton kuhusu Venezuela. Ama kuhusiana na tofauti iliopo kati ya timu ya Trump juu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, baadhi ya weledi wa masuala ya kisiasa wanaamini kwamba, licha ya kuwepo timu yenye siasa kali na yenye chuki ya hali ya juu dhidi ya Iran katika uga wa siasa za kigeni za Marekani ikiongozwa na John Bolton mwenye kupenda kujitanua, lakini binafsi Trump hana nia ya kuingia vitani na Iran ya Kiislamu.
Tags
MAREKANI
4bsh7bb814870c1eyy0_800C450-1.jpg
 
Trump anataka kuingizwa choo cha kike na hawa wapuuzi wawili Mike Pompeo na huyu John Bolton! Vita dhidi ya Iran sio lele Mama itakua km vita vya Dunia madhara yake! Iran atapigana kufa kupona na atalazimika kuharibu mitambo yote ya Mafuta na Gas ya Saudi Arabia,UAE,Qatar,Baharain nk hivyo kupelekea Great Recession Dunia nzima...US anajua hilo na kwa mantiki hiyo Tusitegemee Vita directly kati ya Iran na US....Zaidi USA atatumia tu Mbinu za kiuchumi yani sanctions na Hujuma za Cyber! US anakata tamaa na vikwazo kwani kati ya Nchi ambazo zimewekewa Sanctions na UN/US nyingi chumi zake zime collapse au maisha kua duni sana angalia Quba,NK,Venezuela nk nk lakini Iran sanctions wamegeuza kua opportunities.... Na wamezea kua nchi ya viwanda kuanzia Magari, yakila aina angalia kampuni yao ya #Khordo na Saipa wanauza magari Russia,Ukraine,Senegeal Venezuela na middle east, angalia mapinduzi ya madawa wanayotengeneza mpaka Yale ya Anti cancer na nk So wameweza mengi tu so Washington akiona kila mbinu ya vukwazo na isolation dhidi ya Iran imefail last option ni Vita tu nayo cost yake ni kubwa kwani Iran ni missile power ya nne Duniani so vita haitakua simple kwa upande wa Mr Trump and he knows that!
 
Trump anataka kuingizwa choo cha kike na hawa wapuuzi wawili Mike Pompeo na huyu John Bolton! Vita dhidi ya Iran sio lele Mama itakua km vita vya Dunia madhara yake! Iran atapigana kufa kupona na atalazimika kuharibu mitambo yote ya Mafuta na Gas ya Saudi Arabia,UAE,Qatar,Baharain nk hivyo kupelekea Great Recession Dunia nzima...US anajua hilo na kwa mantiki hiyo Tusitegemee Vita directly kati ya Iran na US....Zaidi USA atatumia tu Mbinu za kiuchumi yani sanctions na Hujuma za Cyber! US anakata tamaa na vikwazo kwani kati ya Nchi ambazo zimewekewa Sanctions na UN/US nyingi chumi zake zime collapse au maisha kua duni sana angalia Quba,NK,Venezuela nk nk lakini Iran sanctions wamegeuza kua opportunities.... Na wamezea kua nchi ya viwanda kuanzia Magari, yakila aina angalia kampuni yao ya #Khordo na Saipa wanauza magari Russia,Ukraine,Senegeal Venezuela na middle east, angalia mapinduzi ya madawa wanayotengeneza mpaka Yale ya Anti cancer na nk So wameweza mengi tu so Washington akiona kila mbinu ya vukwazo na isolation dhidi ya Iran imefail last option ni Vita tu nayo cost yake ni kubwa kwani Iran ni missile power ya nne Duniani so vita haitakua simple kwa upande wa Mr Trump and he knows that!
Kabisa mkuu huwa nasema kila siku vikwazo dhidi ya iran ni kama fursa tu maana iran hutumia vikwazo kutafuta njia nyingine za kibiashara na maisha yakaendelea....tushuhudie tu trump akija kuingia mazungumzo na iran tu
 
Trump anataka kuingizwa choo cha kike na hawa wapuuzi wawili Mike Pompeo na huyu John Bolton! Vita dhidi ya Iran sio lele Mama itakua km vita vya Dunia madhara yake! Iran atapigana kufa kupona na atalazimika kuharibu mitambo yote ya Mafuta na Gas ya Saudi Arabia,UAE,Qatar,Baharain nk hivyo kupelekea Great Recession Dunia nzima...US anajua hilo na kwa mantiki hiyo Tusitegemee Vita directly kati ya Iran na US....Zaidi USA atatumia tu Mbinu za kiuchumi yani sanctions na Hujuma za Cyber! US anakata tamaa na vikwazo kwani kati ya Nchi ambazo zimewekewa Sanctions na UN/US nyingi chumi zake zime collapse au maisha kua duni sana angalia Quba,NK,Venezuela nk nk lakini Iran sanctions wamegeuza kua opportunities.... Na wamezea kua nchi ya viwanda kuanzia Magari, yakila aina angalia kampuni yao ya #Khordo na Saipa wanauza magari Russia,Ukraine,Senegeal Venezuela na middle east, angalia mapinduzi ya madawa wanayotengeneza mpaka Yale ya Anti cancer na nk So wameweza mengi tu so Washington akiona kila mbinu ya vukwazo na isolation dhidi ya Iran imefail last option ni Vita tu nayo cost yake ni kubwa kwani Iran ni missile power ya nne Duniani so vita haitakua simple kwa upande wa Mr Trump and he knows that!
IRAN AMESHASEMA, MISSILE 1 ITAMKOST MAREKANI MABILION YA DOLA
 
Mohammed Al Sahaf at work. The previous sanctions on Iran have never been so terminal as these ones.

The inflation rate is running to the unprecedented level of 40% and the unemployment is becoming unbearable. 60-70% of foodstuff consumed in Iran is imported and the country is currently experiencing the balance of payment problems.

The US imposed sanctions on the country will only go a long way to exacerbate the already deteriorating situation and if the sanctions are sustained further, maybe towards the end of the year Iran may descend into unprecedented political turmoil.
 
Back
Top Bottom