Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,752
- 13,401
Tumepigwa sanahata Ziwa Victoria liligunduliwa na mzungu,jina la Victoria limetokana na malkia wa zamani wa Uingereza.Hilo jina huyo mzungu ndiye aliyelitoa
Tatizo sisi hatuandiki wao wanaandika na wazungu wenzao wanasoma na kujua hivyo vitu kupitia maandishi ya wenzao.