Mamelodi siyo marumo stuka utanjinyea,Marumo walipiga mpira mkubwa sana taifa,magoli wakafungwa wao.
Mamelod iwe makini sana.
Mamelodi siyo marumo stuka utanjinyea,
Hawa ni Masandawana wazee wa kukanda
Ngiyabonga. Hamba kahle!YANGA TUKIFAULU TU HAPA, ''MAMELODI UHAMBE KAHLE''
Good ByeUhambe khle ...ndo nini boss
Achana na maigizo hayo goli zote za mchongo mf. Goli la tano dhidi ya IHEFUKwenye soka chochote kinaweza kutokea ,Ihefu alikuwa anamsumbua sana Yanga ,lakini Juzi amelamba KONO LA NYANI.
Ajiangalie aiseee,aahaaaaMara paaap... mamelodi anakula 5G
kwahiyo Mamelod = Ihefu si ndio ?Kwenye soka chochote kinaweza kutokea ,Ihefu alikuwa anamsumbua sana Yanga ,lakini Juzi amelamba KONO LA NYANI.
kwahiyo Mamelod = Ihefu si ndio ?
Football is not logic or math. On paper Mamelodi wanaonekana wako vizuri lakini kila timu ina udhaifu wake. Unavyopambana na adui yako unashambulia udhaifu wake.Yanga wakijitoa na kucheza attacking football yenye akili nawaona wakipata kitu.
Mamelodi ni wazuri lakini CB wao wakilazimishwa sana na kufanyishwa makosa wana poteana na hapa ndio panapo wakosti sana sundowns.
Pamoja na hayo, Sundowns ni guarantee kupata goli ukicheza nae kama utakua haukai sana nyuma na unakaba ipasavyo.
Hii haihalalishi kusema Sundowns ni wabovu hapana, ni team kamili na ipo vizuri.
Mbumbumbu walikula chuma ngapi mrembo?Al ahly walikula chuma 5 kwa kujifanya wababe wa midomo kama nyie, Badala mkae kimya mnaanza kupanuapanua midomo, wakiwasikia si mtaua nyie, shauli yenu vyura
Football is not logic or math. On paper Mamelodi wanaonekana wako vizuri lakini kila timu ina udhaifu wake. Unavyopambana na adui yako unashambulia udhaifu wake.
Saarbrucken timu ya daraua la tatu Ujerumani imezifunga Bayern Munich, Eintracht Frankfurt na Borrussia Monchenglaedback zote za daraja la keanza kwenye kombe la ligi na wameingia nusu fainali. So anything is possible if you are dedicated and disciplined.
Tofauti na watu wengi wanavyofikiria hii siyo mara ya kwanza timu hizi kukutana. Mara ya mwisho kukutana ilkuwa 2001.
Mechi ya kwanza 13/05/2001 Mamelodi 3-2 Young Africans.
Mechi ya marudiano 26/05/2001 nakumbuka ilichezwa Kirumba Yanga 3-3 Mamelodi.
Kitu kinachosikitisha sana ni Watanzania kujishusha sana au kuleta threads za kipuuzi bila hata kufanya research kidogo.
Ni kawaida 🐸🐸 kukoroma, waache tu wakorome.Al ahly walikula chuma 5 kwa kujifanya wababe wa midomo kama nyie, Badala mkae kimya mnaanza kupanuapanua midomo, wakiwasikia si mtaua nyie, shauli yenu vyura
Sahihi mkuuFootball is not logic or math. On paper Mamelodi wanaonekana wako vizuri lakini kila timu ina udhaifu wake. Unavyopambana na adui yako unashambulia udhaifu wake.
Saarbrucken timu ya daraua la tatu Ujerumani imezifunga Bayern Munich, Eintracht Frankfurt na Borrussia Monchenglaedback zote za daraja la keanza kwenye kombe la ligi na wameingia nusu fainali. So anything is possible if you are dedicated and disciplined.
Tofauti na watu wengi wanavyofikiria hii siyo mara ya kwanza timu hizi kukutana. Mara ya mwisho kukutana ilkuwa 2001.
Mechi ya kwanza 13/05/2001 Mamelodi 3-2 Young Africans.
Mechi ya marudiano 26/05/2001 nakumbuka ilichezwa Kirumba Yanga 3-3 Mamelodi.
Kitu kinachosikitisha sana ni Watanzania kujishusha sana au kuleta threads za kipuuzi bila hata kufanya research kidogo.
Makolo mmekwisha ...Kwa Al ahlyNi kawaida 🐸🐸 kukoroma, waache tu wakorome.
Mamelodi wapo kimya tangu draw ifanyike waliandika kwa channel yao huko whatsapp kwamba robo fainali watakipiga dhidi ya Yanga.
Hawajaposti tambo zozote kwa kuwa wao sio 🐸🐸
Al ahly walikula chuma 5 kwa kujifanya wababe wa midomo kama nyie, Badala mkae kimya mnaanza kupanuapanua midomo, wakiwasikia si mtaua nyie, shauli yenu vyura