Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
bila kumng'unya maneno hawa jamaa ni choka mbaya na hivi sasa hawajiamini kabisa wamepoteza DIRA kila wanalo fanya/tenda hajiamini kama ni sahihi au la ole wenu mlio wachagua hali itakuwa ngumu zaidi hadi 2015