Wile GAMBA
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 1,809
- 595
Aisee Ndugai ni kituko cha mwaka, hivi angesikiliza hoja ya Mbowe hata kwa dakika mbili tu, kisha akai crush angepumgukiwa nini? nchi imepoteza muelekeo. eti huyu ndiyo naibu spika... yaani mpka unasikia kichefuchefu