Job Ndugai Umetukatisha Tamaa

Job Ndugai Umetukatisha Tamaa

Mnavuna mlichopanda. Subirini tena baada ya miaka mitano mtakuwa na nafasi ya kurekebisha au kuongeza makosa. AMKENI ACHENI.......
 
Kuna wengi wa aina yako ambao mpaka leo hawajui thamani ya kura..miaka nenda miaka rudi tatizo liko palepale mtu anapewa kanga,fulana,pilau na ahadi nyingi zisizo na maana anachagua mtu . Majuto ni mjukuu tujifunze kutokana na makosa..ni vizuri ukapiga mbiu kwa wananchi wenzako huko anakotoka ndugai maana najua ataendelea kugombea ili baadae apate promosheni aje awe spika. Si unajua anavyojitahidi kuwabeba magamba?
 
Endeleeini tu ku-pilauika kwa raha zenu huko jimboni na wala msilalamike kitu kwani Ndugai tayari alishamalizana na nyinyi hapo tangu siku ile alipowatwangeni pilau ya nguvu nyumbani kwake!!!!

Hivyo Samahani enyi wapiga kura jimboni kwa Ndugai, Mteja mnayempigia kule Mjengoni HAPATIKANI KWA SASA, jaribuni tena 2015!!!!!!!


Du,kumbe mlipewa pilau ili mmpigie kura,mbona hamkusema mapema?
 
<font size="3"><span style="font-family: comic sans ms">Job, nadhani bado unastahili heshma ya kuitwa Mheshimiwa. Haya, Mh. Job Ndugai, umetukatisha tamaa sisi tuliokuweka hapo mjengoni. Hivi, hata kama wewe ni Naibu Spika, huruhusiwi kuuliza maswali kuhusu Jimbo lako lililotelekezwa na wewe? Hujali siyo? Nashangaa wenzio wakipigania kuboreshwa kwa huduma za jamii Majimboni kwao wewe unaminya tu, barabara zetu zina hali mbaya, kuna njaa kule hata kijijini kwenu, hospitali ni moja tu na zahanati hakuna kabisa katika Jimbo lako lote, maji ni shida... wewe unapokea posho tu ya bureeeee!! Na sasa hivi mnapigania iongezwe!! Ona aibu! Hatutaki tena kiongozi kama wewe 2015, kama ni pilau na mablangeti uliyogawa yanatosha... tumekuchoka. kama wananchi wako ni Bunge basi na wakuweke mjengoni tena 2015.<br />
</span></font>
<br />
<br />
 
na bado mtasema sana....mpaka 2015 hata hiyo pilau mtakuwa mshasahau ladha yake.....lakini ndo mjifunze sasa msirudie makosa hahahahahahh jamani inasikitisha lakini matatizo mengine tunajitakia wenyewe wadau...
 
ukisoma sayansi hamna kupindisha maneno,namshangaa ndugai umeharibikia wapi?roho haikusuti?asumme naye kiongozi wa upinzani anachukua nchi naye akawa wa visasi kama mlivyo ninyi hufikirii itakuwaje au utakuwa umekufa,anagalia wewe ni mzazi anagalia unatengeneza historia gani hapa nchini usilewe hali ya sasa angalia mbele ndugu yangu.Nchi hii si ya CCM,ZINGATIA USHAURI HUU USIWE MCHOYO UKAJIFIRIA WEWE UKAACHA KUFIKIRIA WANAO,MIZEE MINGINE HUMO ILISHAACHA KUZAA MITOTO YAO MIJTU MIZIMA NDUGU YANGU.KHERI MLEVI WA GONGO KULIKO MLEVI WA MADARAKA
 
Kwa kauli hiyo hapo chini kwenye wino mwekundu, mwana-JF mwenzangu umenifanya nimalize siku kwa furaha na amani juu ya busara iliofichama mle.

Kwa nini Ndugai awe kama Luhanjo, greyman, pale serikalini na jinsi anavyoisadia serikali ya JK kuanguka haraka zaidi kwa maamuzi ya KINAZIIII?????????????

ukisoma sayansi hamna kupindisha maneno,namshangaa ndugai umeharibikia wapi?

roho haikusuti?asumme naye kiongozi wa upinzani anachukua nchi naye akawa wa visasi kama mlivyo ninyi hufikirii itakuwaje au utakuwa umekufa,anagalia wewe ni mzazi anagalia unatengeneza historia gani hapa nchini usilewe hali ya sasa angalia mbele ndugu yangu.

Nchi hii si ya CCM,ZINGATIA USHAURI HUU USIWE MCHOYO UKAJIFIRIA WEWE UKAACHA KUFIKIRIA WANAO,MIZEE MINGINE HUMO ILISHAACHA KUZAA MITOTO YAO MIJTU MIZIMA NDUGU YANGU.

KHERI MLEVI WA GONGO KULIKO MLEVI WA MADARAKA
 
Ndugai alipita bila kupingwa.....

Hakuna chama kilichosimamisha mgombea ubunge Kongwa zaidi ya CCM
 
Ndugai alipita bila kupingwa.....<br />
<br />
Hakuna chama kilichosimamisha mgombea ubunge Kongwa zaidi ya CCM
<br />
<br />
Ndungu yangu balatanda kupita bila kupingwa hakuna maana uwe mchoyo wa kujifikiria mwenyewe na si wanao au kuwa mlevi wa madaraka,mimi nadhani kuna kaujinga fulani,Ndugai ananitisha na microbiology yake naona na kwenyewe alikuwa anafanya fitina tu
 
Job, nadhani bado unastahili heshma ya kuitwa Mheshimiwa. Haya, Mh. Job Ndugai, umetukatisha tamaa sisi tuliokuweka hapo mjengoni. Hivi, hata kama wewe ni Naibu Spika, huruhusiwi kuuliza maswali kuhusu Jimbo lako lililotelekezwa na wewe? Hujali siyo? Nashangaa wenzio wakipigania kuboreshwa kwa huduma za jamii Majimboni kwao wewe unaminya tu, barabara zetu zina hali mbaya, kuna njaa kule hata kijijini kwenu, hospitali ni moja tu na zahanati hakuna kabisa katika Jimbo lako lote, maji ni shida... wewe unapokea posho tu ya bureeeee!! Na sasa hivi mnapigania iongezwe!! Ona aibu! Hatutaki tena kiongozi kama wewe 2015, kama ni pilau na mablangeti uliyogawa yanatosha... tumekuchoka. kama wananchi wako ni Bunge basi na wakuweke mjengoni tena 2015.

matatizo yote hayo kwenye red bado mkachagua kiongozi sababu ya hapo kwenye blue????????????? Alaumiwe nani Job aliyenunua ubunge au ninyi mlio uza ubunge.
TAFAKARI ! CHUKUA HATUA!
 
Mh. Mdee aliwahi kunena kuwa ukipata ubunge kwa kuhonga huwezi kuwa accountable kwa wananchi wako, kwahiyo ndugai aliwahonga hivyo alishawalipa mnalalamika nini wakati mlijichana pilau.
 
KUNA WANAMWANGA KILIMANJARO JAMANI! KWA MAGHEMBE. kama vile hatuna mbunge sisi. Ukijaribu kufanya kitu hata kusaidia jamii yako unapigwa Juju.
Nipo????... Ukiwaeleza watakwambia bifu za kidini!!!!!.
Kuna Shule moja Kisangara juu (Ngujini Sec) nilipata mwaka jana. Aliwapelekea Laptop 3 mbovu, shule haina umeme. Wazai walifurahi sana!!!
Naona aibu kumtaja mbunge. Sina mbunge wilaya ya Mwanga
 
Nafikiri juju ni issue nyingine. Labda tafuteni wataalam wa juju wakusaidieni. Au jaribu kumuona mbunge wa CCM wa Korogwe vijijini, ndiye mtaalam issue hizo.
Hakuna juju, ni ujinga wa kuendekeza u-ccm
 
Back
Top Bottom