Job Ndugai Umetukatisha Tamaa

Mentee

Senior Member
Jul 14, 2010
142
29
Job, nadhani bado unastahili heshma ya kuitwa Mheshimiwa. Haya, Mh. Job Ndugai, unatukatisha tamaa sisi tuliokuweka hapo mjengoni.

Hivi, hata kama wewe ni Naibu Spika, huruhusiwi kuuliza maswali kuhusu Jimbo lako lililotelekezwa na wewe? Hujali siyo? Nashangaa wenzio wakipigania kuboreshwa kwa huduma za jamii Majimboni kwao wewe unaminya tu, barabara zetu zina hali mbaya, kuna njaa kule hata kijijini kwenu, hospitali ni moja tu na zahanati hakuna kabisa katika Jimbo lako lote, maji ni shida... wewe unapokea posho tu ya bureeeee!! Na sasa hivi mnapigania iongezwe!!

Ona aibu! Hatutaki tena kiongozi kama wewe 2015, kama ni pilau na mablangeti uliyogawa yanatosha... tumekuchoka. kama wananchi wako ni Bunge basi na wakuweke mjengoni tena 2015.
 
Hiyo ni Faida ya kuchagua Magamba kwa kunusishwa Pilau na kupewa Khanga na Kofia, 2015 msirudie tena kukubali kununuliwa haki zenu kwa kupewa Kofia au kupewa mlo 1 uwe wa Asubuhi, Mchana au usiku, angalia ulivyoku-cost haki zenu. Badala ya kuchagua mtetezi nyinyi mnachagua muwakilishi wa maslai yake. Haya poleni ndio mjifunze hivyo safari bado ndefu
 
Job, nadhani bado unastahili heshma ya kuitwa Mheshimiwa. Haya, Mh. Job Ndugai, umetukatisha tamaa sisi tuliokuweka hapo mjengoni. Hivi, hata kama wewe ni Naibu Spika, huruhusiwi kuuliza maswali kuhusu Jimbo lako lililotelekezwa na wewe? Hujali siyo? Nashangaa wenzio wakipigania kuboreshwa kwa huduma za jamii Majimboni kwao wewe unaminya tu, barabara zetu zina hali mbaya, kuna njaa kule hata kijijini kwenu, hospitali ni moja tu na zahanati hakuna kabisa katika Jimbo lako lote, maji ni shida... wewe unapokea posho tu ya bureeeee!! Na sasa hivi mnapigania iongezwe!! Ona aibu! Hatutaki tena kiongozi kama wewe 2015, kama ni pilau na mablangeti uliyogawa yanatosha... tumekuchoka. kama wananchi wako ni Bunge basi na wakuweke mjengoni tena 2015.

Ndugai hana makosa, wenye makosa ni nyinyi mliomchagua kwa kupewa fulana, khanga na pilau...
Msilalamike ndo hali halisi, subirini miaka mitano ipite ndipo mjiulize maswali haya.
 
KUNA WANAMWANGA KILIMANJARO JAMANI! KWA MAGHEMBE. kama vile hatuna mbunge sisi. Ukijaribu kufanya kitu hata kusaidia jamii yako unapigwa Juju.
 
Job, nadhani bado unastahili heshma ya kuitwa Mheshimiwa. Haya, Mh. Job Ndugai, umetukatisha tamaa sisi tuliokuweka hapo mjengoni. Hivi, hata kama wewe ni Naibu Spika, huruhusiwi kuuliza maswali kuhusu Jimbo lako lililotelekezwa na wewe? Hujali siyo? Nashangaa wenzio wakipigania kuboreshwa kwa huduma za jamii Majimboni kwao wewe unaminya tu, barabara zetu zina hali mbaya, kuna njaa kule hata kijijini kwenu, hospitali ni moja tu na zahanati hakuna kabisa katika Jimbo lako lote, maji ni shida... wewe unapokea posho tu ya bureeeee!! Na sasa hivi mnapigania iongezwe!! Ona aibu! Hatutaki tena kiongozi kama wewe 2015, kama ni pilau na mablangeti uliyogawa yanatosha... tumekuchoka. kama wananchi wako ni Bunge basi na wakuweke mjengoni tena 2015.


kupanga ni kuchagua.
 
Job, nadhani bado unastahili heshma ya kuitwa Mheshimiwa. Haya, Mh. Job Ndugai, umetukatisha tamaa sisi tuliokuweka hapo mjengoni. Hivi, hata kama wewe ni Naibu Spika, huruhusiwi kuuliza maswali kuhusu Jimbo lako lililotelekezwa na wewe? Hujali siyo? Nashangaa wenzio wakipigania kuboreshwa kwa huduma za jamii Majimboni kwao wewe unaminya tu, barabara zetu zina hali mbaya, kuna njaa kule hata kijijini kwenu, hospitali ni moja tu na zahanati hakuna kabisa katika Jimbo lako lote, maji ni shida... wewe unapokea posho tu ya bureeeee!! Na sasa hivi mnapigania iongezwe!! Ona aibu! Hatutaki tena kiongozi kama wewe 2015, kama ni pilau na mablangeti uliyogawa yanatosha... tumekuchoka. kama wananchi wako ni Bunge basi na wakuweke mjengoni tena 2015.

Huna haki ya kumlaumu kwakuwa kumbe mlimalizana nae. Aliwapa hivyo alivyowapa ili mumchague nanyi kwa kuridhika na thamani ya pilau mkaona huyo ndiye kiongozi bora. Kwa maneno rahisi, thamani yenu ni pilau ni blanketi kwakuwa hiyo ndiyo bei mliyonunuliwa nayo na mkaridhika. Sasa mnafikiri hivyo vitu yeye hakuvinunua? Kwani ameshawatangazia kuwa fedha yake imesharudi? Mnae huyo hadi 2015! Hebu tokeni hapa na matatizo yenu ya kujitakia.
 
KUNA WANAMWANGA KILIMANJARO JAMANI! KWA MAGHEMBE. kama vile hatuna mbunge sisi. Ukijaribu kufanya kitu hata kusaidia jamii yako unapigwa Juju.
Nafikiri juju ni issue nyingine. Labda tafuteni wataalam wa juju wakusaidieni. Au jaribu kumuona mbunge wa CCM wa Korogwe vijijini, ndiye mtaalam issue hizo.
 
Nafikiri juju ni issue nyingine. Labda tafuteni wataalam wa juju wakusaidieni. Au jaribu kumuona mbunge wa CCM wa Korogwe vijijini, ndiye mtaalam issue hizo.
<br />
<br />
Mtaje kabisa kwa jina ili asipotee!Profesa Maji Marefu.
 
Mkuu Mentee uyasemayo ni kweli kabisa mimi binafsi ni mkaazi wa hapa Kongwa na uloyasema ni sahihi,na ikumbukwe kua aloyasema mleta mada si kana kwamba yy ndie aliefaidi na hayo mablanketi,kofia,pilau nk hapana kabisa isipokuwa uelewa mdogo wa wananchi, ndio tatizo sana na hii iwe changamoto kwa viongozi wa CDM kutoa elimu ya Uraia kwa wananchi kwani hawa wananchi Mh Ndugai na wana CCM wengi wana tabia ya kuisema CDM vibaya kwa wananchi na jambo zuri wananchi wanaelewa nn CDM inafanya kwa sasa na wanaiunga mkono kwa kiasi fulani kwa hyo ni juu ya viongozi wa CDM kutembelea maeneo mengi ya Kongwa na kutoa elimu ya Uraia na hapa Dodoma kuna haja ya CDM washambulie wilaya zote za Dom kwani watu wamemezezeshwa upuuzi mwingi na hawa Magamba dhidi ya CDM hili ndio tatizo kubwa hapa Dom kwa kiasi kikubwa
 
Job, nadhani bado unastahili heshma ya kuitwa Mheshimiwa. Haya, Mh. Job Ndugai, umetukatisha tamaa sisi tuliokuweka hapo mjengoni. Hivi, hata kama wewe ni Naibu Spika, huruhusiwi kuuliza maswali kuhusu Jimbo lako lililotelekezwa na wewe? Hujali siyo? Nashangaa wenzio wakipigania kuboreshwa kwa huduma za jamii Majimboni kwao wewe unaminya tu, barabara zetu zina hali mbaya, kuna njaa kule hata kijijini kwenu, hospitali ni moja tu na zahanati
hakuna kabisa katika Jimbo lako lote, maji ni shida... wewe unapokea posho tu ya bureeeee!! Na sasa hivi mnapigania iongezwe!! Ona aibu! Hatutaki tena kiongozi kama wewe 2015, kama ni pilau na mablangeti uliyogawa yanatosha... tumekuchoka. kama wananchi wako ni Bunge basi na wakuweke mjengoni tena 2015.

2015 ataongeza na ka mountain dew mtamchagua tu huko dodoma bado sana mpaka mje mbadilike iko kazi
 
Aisee nawapa pole sana wananchi wa MKOKA, CHALINZE,KIBAIGWA & KONGWA ujumla,

Kanda ya ziwa tumeshawapiga chini, hao jamaa si watu bali ni genge majizi yanayokaa mjengoni na kusuka misheni town yao tuuu.

Maeneo hayo yote nayafahamu vizuri, ni kweli kiangazi ni tabu sana.

Jambo la msingi achaneni na CC-M hawafai.
 
Job, nadhani bado unastahili heshma ya kuitwa Mheshimiwa. Haya, Mh. Job Ndugai, umetukatisha tamaa sisi tuliokuweka hapo mjengoni. Hivi, hata kama wewe ni Naibu Spika, huruhusiwi kuuliza maswali kuhusu Jimbo lako lililotelekezwa na wewe? Hujali siyo? Nashangaa wenzio wakipigania kuboreshwa kwa huduma za jamii Majimboni kwao wewe unaminya tu, barabara zetu zina hali mbaya, kuna njaa kule hata kijijini kwenu, hospitali ni moja tu na zahanati hakuna kabisa katika Jimbo lako lote, maji ni shida... wewe unapokea posho tu ya bureeeee!! Na sasa hivi mnapigania iongezwe!! Ona aibu! Hatutaki tena kiongozi kama wewe 2015, kama ni pilau na mablangeti uliyogawa yanatosha... tumekuchoka. kama wananchi wako ni Bunge basi na wakuweke mjengoni tena 2015.
Na bado..............Nyoka ni Nyoka tu hata akivua gamba........... Cha muhimu katiba ibadirishwe na kila mkuu wa muhimili tumpigie kura.......na wala asiwe mbunge.......Mambo ya kuteuana ndo haya yanayopelekea spika wa bunge kuhudhuria vikao vya wabunge wa CCM
 
Back
Top Bottom