Job Ndugai asoma msg kwa kujificha bungeni

Mndengereko

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
7,280
3,345
Sasa mheshimiwa naibu spika anasoma sms huku wabunge wanachangia kuna umakini kweli? Na kwa nini asome kwa kujificha kama ni sahihi? Tafakari.......


job.jpg
 
kazi ipo aliyempiga picha ni hatariii..mambo ya simu yana siri nyingi za ajabu hapo alijisahau
 
Duh! hii ni fedheha wazee! Kumbe ndiyo maana anashindwa kutoa maamzi anategemea sms kutoka nje.
 
Back
Top Bottom