Job Ndugai asoma msg kwa kujificha bungeni

Job Ndugai asoma msg kwa kujificha bungeni

Mbona unamchelewesha mpk ataongea ukwel. Kama hataki kukaa ana kaidi amri ya kiti,ita askari wampige tuu.. tumemchoka.

Sender: W/Mkuu
11:32:09 am
..../09/2013
Messege Centre no: 221836952275
 
Ni mbaya sana kuongoza bunge kwa kutumia SMS, bila ya shaka inatoka kwa Lukuvi, Pinda au huyo mwanasheria Mkuu aibu fedheha kubwa sn
 
uwa tunazan anafungua karatas na kusoma. kumbe anasoma msg za simu
 
Then akinyanyuka hapo anakuja rules za ajabu kumbe tatizo stress za msg
 
sasa tunawweza ujua kwa nini ccm walikuwa wanataka bunge lisionyeshwe live mambo kama haya tungeyajuaje???
 
"HAPO ANAAMBIWA" <usikubaliane na hoja za cdm hakikisha unakatisha hoja zao mbalimbali ili kulinda maslahi ya chama>not fact scripts
 
Sasa mheshimiwa naibu spika anasoma sms huku wabunge wanachangia kuna umakini kweli? Na kwa nini asome kwa kujificha kama ni sahihi? Tafakari.......


View attachment 112281

sender: Mizengo pinda
message center: magamba
content: waambie polisi nikishatoka hao jamaa wapigwe tu! hasa huyo sugu!
 
Sasa mheshimiwa naibu spika anasoma sms huku wabunge wanachangia kuna umakini kweli? Na kwa nini asome kwa kujificha kama ni sahihi? Tafakari.......


View attachment 112281

Tabia ya kupiga chabo darasani a.k.a kuangalizia ni janga Tz na Ndio chimbuko la kuzaa wasomi feki wapenda kuiba mitihani na kukariri masomo ili wafaulu mitihani kisha waitwe wasomi wenye shahada kumbe moyoni wanajua hawana Taaluma harisi matokeo yake ni kuja Kuwa na viongozi wakaidi wanaopinda sheria huku wakijidai wapo kwenye mstari .
 
SMS ya kuwaita Polisi wa bunge waje kuwakomesha akina Sugu na wenzake
 
Back
Top Bottom