maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,050
- 14,930
Wanabodi (in Pascal Mayalla voice),
Nimepata safari ya haraka kwenda Nairobi ila passport yangu ni zile za zamani ambazo hazitumiki na siku-renew. Sasa naomba kwa mnaofahamu je ninaweza pata pass ya muda ya kusafiria? Na ninaipata wapi,ni palepale airport au immigration? Maana kwa muda uliobaki ni mdogo sitoweza shughulikia passport na kuipata haraka nataka nikirudi ndio nishughulikie.
Natanguliza shukrani
Nimepata safari ya haraka kwenda Nairobi ila passport yangu ni zile za zamani ambazo hazitumiki na siku-renew. Sasa naomba kwa mnaofahamu je ninaweza pata pass ya muda ya kusafiria? Na ninaipata wapi,ni palepale airport au immigration? Maana kwa muda uliobaki ni mdogo sitoweza shughulikia passport na kuipata haraka nataka nikirudi ndio nishughulikie.
Natanguliza shukrani