Gharama za hati ya kusafiria (passport) zipoje?

Tshs 150,000/= hizi ni gharama za serikali!

Inachukua mda gani kuipata,inategemea na wewe mwenyewe unaitaka kwa matumizi gani, kwa kawaida huchukua week tatu hadi mwezi mmoja! Kama una emergency ya mgonjwa,ndani ya siku moja tu,unapata passport yako,lakini gharama itakua zaidi ya hiyo Tshs 150,000/=
Sorry. Unaposema inaweza kuwa zaidi ya 150,000/, ina maana unaongelea kuhusu rushwa?
 
Tshs 150,000/= hizi ni gharama za serikali!

Inachukua mda gani kuipata,inategemea na wewe mwenyewe unaitaka kwa matumizi gani, kwa kawaida huchukua week tatu hadi mwezi mmoja! Kama una emergency ya mgonjwa,ndani ya siku moja tu,unapata passport yako,lakini gharama itakua zaidi ya hiyo Tshs 150,000/=
Nilikua napitia kwenye tovuti ya serikali, nimeona yenye gharama kubwa ni sh 50,000.

Kwanini wameweka geresha?

Wahuni sana hawa watu
 
Hati ya kimataifa mkuu
Gharama yake ni 150000 tu.

Itaongezeka kulingana na vielelezo vyako vikipunguwa. Mfano cheti cha kuzaliwa

Hati ya kiapo cha wazazi.

Nenda stationary kuna wanapotuma maombi ya passport online.

Utalipia 20000/ sh Utapata risiti ya malipo.

Utamalizia 130000 siku utakayowasilisha maombi migration.

Kama kuna cha ziada utapata maelekezo uhamiaji
 
Tshs 150,000/= hizi ni gharama za serikali!

Inachukua mda gani kuipata,inategemea na wewe mwenyewe unaitaka kwa matumizi gani, kwa kawaida huchukua week tatu hadi mwezi mmoja! Kama una emergency ya mgonjwa,ndani ya siku moja tu,unapata passport yako,lakini gharama itakua zaidi ya hiyo Tshs 150,000/=
Kwani kinachoangaliwa ni pesa au ni kukidhi vigezo, inamaana mtu hata kama hajakidhi vigezo kama anahela kubwa anapewa chapchap siyo
 
Nilikua napitia kwenye tovuti ya serikali, nimeona yenye gharama kubwa ni sh 50,000.

Kwanini wameweka geresha.???

Wahuni sana hawa watu
Hata mimi bei hiyo niligongana nilipotembelea kwenye hiyo site
 
Kigezo mojawapo cha kupata passport ni ugonjwa! Ukiwa na Cheti cha dakitari kinasema unapaswa kwenda nje kwa ajiri ya matibabu,basi unapata passport!

Ili uweze kuwahi matibabu yako nje,inabidi upate passport haraka,haraka yenyewe ni kwamba, siku ambayo unahitaji hiyo passport, kumbuka kuna kazi nyingine zinaendelea,sasa ili waache hizo kazi na wafanye kazi yako,inakubidi sasa uweke pesa zaidi ya hiyo Tshs 150,000=

Nadhani utakua umenielewa sasa
Big no
Kwa wagonjwa kuna taratibu rasmi za kufasttrack passport zao na wanaowasindikiza bila kutoa fedha zaidi ( rushwa). Hata watumishi wa Serikali wanaotakiwa kusafiri kwa haraka kuna utaratibu rasmi wa kufasttrack passport zao bila kutoa rushwa.
Ila kwa watu wengine wanaotaka kwa haraka ndio hapo itakulazimu uwape chochote ndio wakuunganishe kwenye kundi la hao wa fasttrack.
Na hili jambo linafanyika kwa dsm tu hauwezi ukapata passport siku hiyo hiyo uyowasilisha maombi ukiwa nje ya DSM
 
Jamani nataka kuuliza je kwa mfano mtu akishafanya finger print pamoja na kupiga picha je ombi linaweza kukataliwa?
 
Niliprocess yangu miaka 7 iliyopita, ni valid kwa 10 years.

Gharama ilikuwa 150,000/= na baada ya wiki mbili - mwezi unapata kwasababu ukiwa mkoani ni lazima usubiri zitumwe kutoka DSM makao makuu na nafikiri bei ni hiyohiyo mpaka leo.

Zile za Emergency sijui process zake ila nasikia huwa inacost mpaka 300,000/=
 
Huko uhamiaji maana nimeshafanya Kila kitu lkn Sasa wananizungusha mara waseme kuwa mfumo wakupokelewa ombi unasumbua Yan sielewi hapa! Nimetengeneza tangu mwezi wa sita mwaka huu mpka leo hii nazungushwa
 
Samahani nataka kuuliza kwamfano Kila kitu ushafanya Yani kulipa na kuchukus finger print na kupiga picha je ombi linaweza likataliwa ?

Gharaza yake ni 150000 tu.

Itaongezeka kulingana na vielelezo vyako vikipunguwa. Mfano cheti cha kuzaliwa

Hati ya kiapo cha wazazi.

Nenda stationary kuna wanapotuma maombi ya passport online.

Utalipia 20000/ sh Utapata risiti ya malipo.

Utamalizia 130000 siku utakayo wasilisha maombi migration.

Kama kuna cha ziada utapata maelekezo uhamiaji
 
Gharaza yake ni 150000 tu.

Itaongezeka kulingana na vielelezo vyako vikipunguwa. Mfano cheti cha kuzaliwa

Hati ya kiapo cha wazazi.

Nenda stationary kuna wanapotuma maombi ya passport online.

Utalipia 20000/ sh Utapata risiti ya malipo.

Utamalizia 130000 siku utakayo wasilisha maombi migration.

Kama kuna cha ziada utapata maelekezo uhamiaji
Hivi naweza kupata passport hata kama sina safari? Lengo kuna online registration zinataka uwe na passport ndo upate huduma iliyo advanced zaidi...
 
Kilo 3 ukiwapa wazee wa deal wanakuletea nyumbani kabisa
Ukitaka process ni miezi mi3 jiandae sana kuonana na makatibu kata wazee wa serikali za mitaa kila
 
Back
Top Bottom