Kwanza fuata ushauri wa Ng'wanapagi hapo juu.
Hakikisha una kitambulisho cha taifa (NIDA) au ile namba.
Ingia kwenye tovuti ya uhsmiaji, nenda sehem ya kujaza form za maombi ukikamilisha utalipia malipo ya awali na kuprint application yako utakayowasilisha uhamiaji na kulipia 140,000/- kama sikosei.
Hakikisha nyaraka za vyeti vya kuzaliwa zako na wazazi unazo soft copy.
Ukiona mzunguko mrefu, nenda kwenye steshenari zozote karibu na ofisi za uhamisji watakufsnyia huo mchakato wa awamu ya kwanza na huenda wakakuunganisha na watu wa kukupatia msaada zaidi uhamiaji kupata hati upesi.
Barikiwa
Nashukuru
MnamtishaKama huna pesa za kubrashia viatu kama ki laki moja na tuelfu hamsini kaa nyumbani kwa kutulia
Kama ana kila kitu kinachohitajika wakati wa kujaza fomu ya kuombea passport wala hahitaji kutoa hela, atapewa tu passport yake bila shidaKama huna pesa za kubrashia viatu kama ki laki moja na tuelfu hamsini kaa nyumbani kwa kutulia