JKT watangaza nafasi za kujitolea

JKT watangaza nafasi za kujitolea

Yote katika yote nafasi za ajira ni bahati ya mtu,kuna watu waliingia jeshi na ikatokea wakaajiriwa direct bila kuchelewa,mkikaa mnakatishana tamaa hapa mtapoteza ndoto zenu,Kwma moyo wako unakusukuma uende jeshi we nenda wala usimsikilize mtu,Tena ni nzuri kama una Diploma yako au Degree...maana uwezekano wa wewe kuajiriwa ni mkubwa zaidi,ila Uvumilivu pia ni muhimu.Ahsante
 
KILA NAFASI UNAYOTAKA KUPITA INA UFUNGUO WAKE,JIFUNZE KUPITIA HILI PIA LITAWASIDIA


PReviously nilikuwa napenda sana jeshi,hasa nilivyokuwa namaliza chuo tu,lakini mungu alivyo wa ajabu nikapata ajira direct kwenye kampuni flan,Tumaini tena la jeshi likawa limetoweka,baada ya mwaka mmoja pale kwenye lile kampuni wakanizingua,majungu yakawa kibao sana,nikaanza kujiandaa kwa AJILI ya lolote litakaloweza kutokea,i mean nikawa nafanya kazi huku nikitafuta kazi mahala pengine,Ama kweli mungu si athumani,mwezi mmoja tu kupita nikapata ajira kwenye kampuni nyingnie pasipo msaada wa mtu,Hakika kila njia unayotaka kupita ina mlango wake wa kutokea,USISHANGAE LEO HII WEWE UNATAMAN KUJIUNGA NA JKT,LAKINI KUMBE MLANGO UTAKAO KUJA KUTOKEA NI OFFICER FLANI AU MTU FLANI MKubwa,au GEneraly ,,,,VIJANA TUSICHOKE KATIKA LOLOTE...FATA KILE MOYO WAKO UNAVYOKUSUKUMA........MWENZIO ANAVYOONA SI SAWA NA WEWE,
 
KILA NAFASI UNAYOTAKA KUPITA INA UFUNGUO WAKE,JIFUNZE KUPITIA HILI PIA LITAWASIDIA


PReviously nilikuwa napenda sana jeshi,hasa nilivyokuwa namaliza chuo tu,lakini mungu alivyo wa ajabu nikapata ajira direct kwenye kampuni flan,Tumaini tena la jeshi likawa limetoweka,baada ya mwaka mmoja pale kwenye lile kampuni wakanizingua,majungu yakawa kibao sana,nikaanza kujiandaa kwa AJILI ya lolote litakaloweza kutokea,i mean nikawa nafanya kazi huku nikitafuta kazi mahala pengine,Ama kweli mungu si athumani,mwezi mmoja tu kupita nikapata ajira kwenye kampuni nyingnie pasipo msaada wa mtu,Hakika kila njia unayotaka kupita ina mlango wake wa kutokea,USISHANGAE LEO HII WEWE UNATAMAN KUJIUNGA NA JKT,LAKINI KUMBE MLANGO UTAKAO KUJA KUTOKEA NI OFFICER FLANI AU MTU FLANI MKubwa,au GEneraly ,,,,VIJANA TUSICHOKE KATIKA LOLOTE...FATA KILE MOYO WAKO UNAVYOKUSUKUMA........MWENZIO ANAVYOONA SI SAWA NA WEWE,

Salute mkuu.
 
KILA NAFASI UNAYOTAKA KUPITA INA UFUNGUO WAKE,JIFUNZE KUPITIA HILI PIA LITAWASIDIA


PReviously nilikuwa napenda sana jeshi,hasa nilivyokuwa namaliza chuo tu,lakini mungu alivyo wa ajabu nikapata ajira direct kwenye kampuni flan,Tumaini tena la jeshi likawa limetoweka,baada ya mwaka mmoja pale kwenye lile kampuni wakanizingua,majungu yakawa kibao sana,nikaanza kujiandaa kwa AJILI ya lolote litakaloweza kutokea,i mean nikawa nafanya kazi huku nikitafuta kazi mahala pengine,Ama kweli mungu si athumani,mwezi mmoja tu kupita nikapata ajira kwenye kampuni nyingnie pasipo msaada wa mtu,Hakika kila njia unayotaka kupita ina mlango wake wa kutokea,USISHANGAE LEO HII WEWE UNATAMAN KUJIUNGA NA JKT,LAKINI KUMBE MLANGO UTAKAO KUJA KUTOKEA NI OFFICER FLANI AU MTU FLANI MKubwa,au GEneraly ,,,,VIJANA TUSICHOKE KATIKA LOLOTE...FATA KILE MOYO WAKO UNAVYOKUSUKUMA........MWENZIO ANAVYOONA SI SAWA NA WEWE,

Appreciate.... kuna hoja ya msing sana ambayoitajenga jamii ya kitz katika maelezo yako kama greater thinker nimejifunza mambo kama kumi..
 
KILA NAFASI UNAYOTAKA KUPITA INA UFUNGUO WAKE,JIFUNZE KUPITIA HILI PIA LITAWASIDIA


PReviously nilikuwa napenda sana jeshi,hasa nilivyokuwa namaliza chuo tu,lakini mungu alivyo wa ajabu nikapata ajira direct kwenye kampuni flan,Tumaini tena la jeshi likawa limetoweka,baada ya mwaka mmoja pale kwenye lile kampuni wakanizingua,majungu yakawa kibao sana,nikaanza kujiandaa kwa AJILI ya lolote litakaloweza kutokea,i mean nikawa nafanya kazi huku nikitafuta kazi mahala pengine,Ama kweli mungu si athumani,mwezi mmoja tu kupita nikapata ajira kwenye kampuni nyingnie pasipo msaada wa mtu,Hakika kila njia unayotaka kupita ina mlango wake wa kutokea,USISHANGAE LEO HII WEWE UNATAMAN KUJIUNGA NA JKT,LAKINI KUMBE MLANGO UTAKAO KUJA KUTOKEA NI OFFICER FLANI AU MTU FLANI MKubwa,au GEneraly ,,,,VIJANA TUSICHOKE KATIKA LOLOTE...FATA KILE MOYO WAKO UNAVYOKUSUKUMA........MWENZIO ANAVYOONA SI SAWA NA WEWE,

point mkuu.
 
Hata sitaki, niende huko wanifundishe kutumia silaha halafu nisipopata ajira si watakua wamenipa mafunzo ya kuwa jambazi tu,
 
Hata sitaki, niende huko wanifundishe kutumia silaha halafu nisipopata ajira si watakua wamenipa mafunzo ya kuwa jambazi tu,

Wala usitishie nyau mtu.Ukirudi ukiwa jambazi mtumia silaha ukithubutu pia utakutana na watumia silaha waliopitia JKT kama wewe utakaojaribu kuwavamia hivyo ngoma itakuwa droo
 
Jamani si vizuri baadhi ya watu humu mnadisi nafasi za kazi kama hii ya jeshi wakati nyie mmeshatuma maombi..sasa sielewi nia yenu ni kupunguza idadi ya waombaji au nini hasa..acha kukatisha watu tamaa..kama una jambo basi elezea kwa hoja na si kuponda kabisa..
 
Jamani si vizuri baadhi ya watu humu mnadisi nafasi za kazi kama hii ya jeshi wakati nyie mmeshatuma maombi..sasa sielewi nia yenu ni kupunguza idadi ya waombaji au nini hasa..acha kukatisha watu tamaa..kama una jambo basi elezea kwa hoja na si kuponda kabisa..

Mkuu hata wakibana tutakomaa huko huko tu mpk kieleweke.
 
Wala usitishie nyau mtu.Ukirudi ukiwa jambazi mtumia silaha ukithubutu pia utakutana na watumia silaha waliopitia JKT kama wewe utakaojaribu kuwavamia hivyo ngoma itakuwa droo

Wala sitishii, sitaki mafunzo yatakayonifanya niwe mhalifu tu sababu uhakika wa ajira hakuna
 
Kuna yeyote ambae keshatuma maombi? Mimi nilienda ijumaa wilaya ya kinondoni pale magomeni nikaingia ofisi ya mgambo kuulizia wakaniambia niende jumatatu kama watakua washabandika matangazo ndipo apo maombi yatakapoanza kutumwa.
 
Kuna yeyote ambae keshatuma maombi? Mimi nilienda ijumaa wilaya ya kinondoni pale magomeni nikaingia ofisi ya mgambo kuulizia wakaniambia niende jumatatu kama watakua washabandika matangazo ndipo apo maombi yatakapoanza kutumwa.

Jumatatu gani hiyo mkuu
 
habari nzuri hii kwa sie tulioko mitaani sasa kazi ni kwa ofisi ya mkuu wa mkoa
 
Nafasi zenyewe kwa wa2 wenye shahada ni mbili kwa kila wilaya nadhani serikali inautani et stashahada wa4 dah ajabu kwel
 
Kuna yeyote ambae keshatuma maombi? Mimi nilienda ijumaa wilaya ya kinondoni pale magomeni nikaingia ofisi ya mgambo kuulizia wakaniambia niende jumatatu kama watakua washabandika matangazo ndipo apo maombi yatakapoanza kutumwa.

Mimi ofic za mkoa pale Ilala niliambiwa j5 ya tar 25 march.
 
Back
Top Bottom