Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,273
Ktk hali iliyojaa utata jeshi la kujenga taifa limepewa kazi ya ulinzi katika vivuko vya kigamboni feri!
Tenda hiyo imejaa utata kwakuwa haikufuata taratibu za manunuzi na mkataba wao umekuwa ni siri kubwa!
Nachelea kuhoji why jkt walipwe kwa huduma ya jamii iliha nalo ni chombo cha umma na ndiyo kazi mahususi tulilipatia?
Hebu wadau wenzangu ni saidieni kufahamishwa ktk hili
Tenda hiyo imejaa utata kwakuwa haikufuata taratibu za manunuzi na mkataba wao umekuwa ni siri kubwa!
Nachelea kuhoji why jkt walipwe kwa huduma ya jamii iliha nalo ni chombo cha umma na ndiyo kazi mahususi tulilipatia?
Hebu wadau wenzangu ni saidieni kufahamishwa ktk hili