Nimewaona kupitia Startv, walipokutana na BLATTER huko duniani, hii ilitokea wkt wa kupigwa picha ya pamoja na bosi huyo wa soka dunian. Nadhan hawa jamaa zetu walijisahau kw kutofunga vifungo vya makoti yao, nilicheka sana!
umenikumbusha nilicheka sana hasa tenga na kuna baadhi ya picha koti lake lilikuwa wazi.nadhani wamezoea joto la dar sio makosa yao hata watu wengi dar wamezoea hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.