Nostradamus
JF-Expert Member
- Jun 8, 2009
- 392
- 6
No nation is an island I guess.Very justifiable.
Last edited by a moderator:
---I do all that I do for the love that I have to my country--
Sooo old
---You do all you do for the love of Mafisadi. We are concerned with our nation welfare first not the popularity stance of Kikwete---
Freedom of Speech.I respect that and I let u have that.
Whatever,ila wananchi tunamsikiliza,tunamuelewa na kura tutampa.Bootlicking
Bootlicking
Bootlicking
kumbe nyie mnadhani mnapambana na CHADEMA?But stil useful.Kwani malalamiko ya chadema ni ya jana??
kumbe nyie mnadhani mnapambana na CHADEMA?
Sisi Watanzania tumelalamika na tunaelekea kuchukua hatua.
Chadema ni jukwaa kama jukwaa lolote lakini mahubiri popote
???No nation is an island I guess.Very justifiable.
Ni kitu gani justifiable hapo?? 2.3 % ya madini doesn't even break-even the environmental costs achilia mbali mazagazaga mengine kwene socio-economix..Watu wenye fikra duni kama nyie mnatakiwa DNA zenu zipotezwe...u r a liabilities to this planet.Anaeleweka.Anachokisema ni justifiable.Muda utasema ndugu.JK anakubalika.
Whatever,ila wananchi tunamsikiliza,tunamuelewa na kura tutampa.
utampa wewe usiseme wananchi.kwani unamuwakilisha nani hapa mpaka useme mtampta kura?? endeleeni kumuelewa kwa kuwa akili zenu zimefanana...kama uwezo wako wa kufikiri ni finyu huwezi kumuelewa mtu mwingine yeyote zaidi ya JK
Whats so special alichoongea hapo 'Dr. Mkwere'?Naelewa mengi na nina uwezo wa kupambanua lipi linafaa kwa wakati huu na lipi halifai.
Naeleza maoni yangu na ninayo haki hiyo kama wewe ulivyo nayo.
Nimetoa video hii kuonyesha/kukumbusha kwamba rais (wako na wangu) alijua nini anafanya katika sekta ya uchumi.
Mwisho akili za binadamu hazifanani in katika hali yoyote ile.
Whats so special alichoongea hapo 'Dr. Mkwere'?
You are already biased and that means your mind is not open for facts.Ni vizuri umeangalia na kusikiliza.