JK On CNBC Morning Call - He Was Right

Ni kitu gani justifiable hapo?? 2.3 % ya madini doesn't even break-even the environmental costs achilia mbali mazagazaga mengine kwene socio-economix..Watu wenye fikra duni kama nyie mnatakiwa DNA zenu zipotezwe...u r a liabilities to this planet.

Duuh! Mkuu hilo dongo ningekuwa mie you wouldn't see me anywhere near JF.
 
Ni kitu gani justifiable hapo?? 2.3 % ya madini doesn't even break-even the environmental costs achilia mbali mazagazaga mengine kwene socio-economix..Watu wenye fikra duni kama nyie mnatakiwa DNA zenu zipotezwe...u r a liabilities to this planet.

You have a right to present your views and those are your views.JK went to Nasdaq for a meeting with crucial investors and what he was saying was why they should invest in Tanzania and justifying that he can guarantee a good environment for their investments.And you know something else,these people are getting a chance because there are people like you who have not stood for their own calls!!Ghananians in the diaspora wameinvest kiasi gani Ghana??Jilinganishe na wewe!!Kazi imebaki ni kulia lia na kuwaita waafrika wenzenu vihiyo na wezi na kushinda online bila point za msingi.WHAT HAVE YOU DONE TO YOUR COUNTRY!!!?HAVE YOU STAYED TRUE TO YOUR CALL??Najua hapo nimegusa wengi!Wabeba box.
 
You have a right to present your views and those are your views.JK went to Nasdaq for a meeting with crucial investors and what he was saying was why they should invest in Tanzania and justifying that he can guarantee a good environment for their investments.And you know something else,these people are getting a chance because there are people like you who have not stood for their own calls!!Ghananians in the diaspora wameinvest kiasi gani Ghana??Jilinganishe na wewe!!Kazi imebaki ni kulia lia na kuwaita waafrika wenzenu vihiyo na wezi na kushinda online bila point za msingi.WHAT HAVE YOU DONE TO YOUR COUNTRY!!!?HAVE YOU STAYED TRUE TO YOUR CALL??Najua hapo nimegusa wengi!Wabeba box.
lol..JK was in Nasdaq doing what he does best..UKUWADI..i bet hiyo ndio kazi kubwa anayoiweza baada ya ile ya kuwalinda waizi waliomfadhili na wanaomfadhili urahisi. Trust me, sioni faida ya kuwa na serikali ya kikuwadi, kwanini tuwafuge watu wasio na faida? kama tunahitaji brokers, tutaajiri brokers kututafutia wawekezaji sio rais mfuga wezina serikali isiyoleta output yeyote.

Hizo safari zake za Nasdaq na kuangalia NBA games zimelisaidia vipi taifa? Unaweza kutuonesha mathematically ni wapi na kwa vipi na kwa kiasi gani zimelipa?? oohh..sidhani mtu mwenye caliber ya Malaria Sugu anaweza kujibu haya..

BTW, niambie ni nchi gani duniani ambayo imeendelea kupitia remittances pekee..narejea kusema, watu kama nyie ndio msingi hasa wa umaskini wetu..
 
lol..jk was in nasdaq doing what he does best..ukuwadi..i bet hiyo ndio kazi kubwa anayoiweza baada ya ile ya kuwalinda waizi waliomfadhili na wanaomfadhili urahisi. Trust me, sioni faida ya kuwa na serikali ya kikuwadi, kwanini tuwafuge watu wasio na faida? Kama tunahitaji brokers, tutaajiri brokers kututafutia wawekezaji sio rais mfuga wezina serikali isiyoleta output yeyote.

Hizo safari zake za nasdaq na kuangalia nba games zimelisaidia vipi taifa? Unaweza kutuonesha mathematically ni wapi na kwa vipi na kwa kiasi gani zimelipa?? Oohh..sidhani mtu mwenye caliber ya malaria sugu anaweza kujibu haya..

Btw, niambie ni nchi gani duniani ambayo imeendelea kupitia remittances pekee..narejea kusema, watu kama nyie ndio msingi hasa wa umaskini wetu..

rejea mfano wangu wa ghana na watu wake walio nje ya nchi.
 
Habari ya jioni wanaharakati na wahabiki:
Hapa kuna video ambayo nadhani ni vizuri kuitazama.
Karibuni:


 
Last edited by a moderator:
Ni kitu gani justifiable hapo?? 2.3 % ya madini doesn't even break-even the environmental costs achilia mbali mazagazaga mengine kwene socio-economix..Watu wenye fikra duni kama nyie mnatakiwa DNA zenu zipotezwe...u r a liabilities to this planet.


Hapo kwenye Red, Kazi kweli kweli binadamu kuwa liability ! Nimecheka kweli kweli mkuu kwa mawazo yako
 
Lol!Mbeba box.
Mkuu kusema kweli ningependa kujua unachotaka kutueleza maana hii habari sio mpya. Kenda Nasdaq kutuuza lakini hadi leo hii sidhani kama kuna tulichouza..
Kisha nakuomba pia msikilize Mark comment baada ya mtangazaji kuhamishia kwake. Kasema nini vile?..
 
Back
Top Bottom