Mi sioni sababu ya kumuona mkapa lulu wakati ana kashifa kibao,mara meremeta,mara kiwila,mara EPA,wanini huyo?hupaswi kumwamini mwongo hata kama ameongea ukweli,mwizi ni mwizi tu hata kama ameiba buku,hatupaswi hum judge in positive way unles arudishe alichotuibia na akaungame kwa imani yake...mp'ya