Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Kwa nini utafute kukumbukwa kwa mema wakati ni wajibu wa msingi? Hii inamaanisha kuwa you had your shot lakini hutaka kufanya yaliyo mema na leo unakurupuka huko kwenye kampeni zako unakuja kutuambia unataka eti kukumbukwa kwa mema!
sana sana tutakukumbuka kwa
Ushikaji
Rais mtembeza bakuli
Mfuga mafisadi
Ahadi tele bila utaekelezaji (eti train na mabasi ya kwenda kasi) yaletwe na nani? CCM hii tunayoijua?
By the way hebu naomba kukumbushwa mradi wowote mkubwa wa barabara ambao umeanzishwa awamu hii ya nne na umetekelezwa kwa ukamilifu?
sana sana tutakukumbuka kwa
Ushikaji
Rais mtembeza bakuli
Mfuga mafisadi
Ahadi tele bila utaekelezaji (eti train na mabasi ya kwenda kasi) yaletwe na nani? CCM hii tunayoijua?
By the way hebu naomba kukumbushwa mradi wowote mkubwa wa barabara ambao umeanzishwa awamu hii ya nne na umetekelezwa kwa ukamilifu?