Hivi kama huna cha kuandika mpaka mpost mliyokuwa mnaanong'oneza huko mtaani. Kuna haja ya kuanzisha jukwaa kwa ajili ya majungu maana post kama hizo hazina substance.Jamani mimi niko huku ugaibuni ila kuna habari nimepewa na mtu wa karibu na familia husika kuwa majuma mawili yamepita sasa tangu jk azae na mtoto wa Rostam, vipi mlioko home, haya mambo yana ukweli?
Jamani mimi niko huku ugaibuni ila kuna habari nimepewa na mtu wa karibu na familia husika kuwa majuma mawili yamepita sasa tangu jk azae na mtoto wa Rostam, vipi mlioko home, haya mambo yana ukweli?
Kikwete yuko South Afrika na mara kurudi huyo karuka kwenda Uganda, mke wake Salma kamwecha anacheza bao na wanaume wengine bongo, huko Kikwete ana nani anayemwandalia kitana cha kuchana nywele? Jamani mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio haambiwi sikia.
Mafisadi wanajua udhaifu wa Mkulu ulipo na hapo washamshika yameisha.