Mama, ulilipishwa naye nini? Hata mimi hii niliisikia lakini ufisadi wake ni wa kiwango cha chini ingawa kama unavyosema ufisadi ni ufisadi ni ufisadi tu!
Jobo usimlie mtu yamini dunia hii.
Tukirudi kwenye issue yako unayosema JK ameboa kuwachagua hao majaji Soma kwenye administration of the judiciary na function za chief justice.