Jibu unalo. Inawezekana nia yake siyo kupendelea ila ni kutaka kuleta urari! Ila langu ni moja tu, usilete urari katika masuala ya haki maana kila watu wana priorities zao. Katika sheria wakristu wapo wengi and the ratio inaweza kuwa mwislamu mmoja kwa wakristo kumi (10%) sasa ukitaka kila ukiteua majaji wawemo waislamu kadhaa in almost equal proportion ni tatizo. Same with gender, ratio ni even worse!
Umejuaje kama jibu ninalo? ndio hivi unaweka hisia kwenye thoughts na action za watu wengine. Kama wanaweza asiwaapoint kwa vile watu watasema anaweka proportions za udini na jinsia, basi ingekuwaje kama hao majaji wateule wangekuwa wote wanaume, wote wanawake, au wote wakristo au wote waislamu? hakuna urari bali equal opportunities to the qualified ones. Pongezi zenu majaji haki itendeke.