Wasi wasi tu na kutaka kuji normalise na kutafuta huruma ya jamaa. Hivi Dr. Slaa alienda?
.......kiukweli nina wasiwasi na strength ya hii team minus dr slaa, minus zitto.
Safari,Balegu,Lissu watakuwa wamecomplement absence ya Zito na Slaa
Wasi wasi tu na kutaka kuji normalise na kutafuta huruma ya jamaa. Hivi Dr. Slaa alienda?
Nawatakia kila la kheri. Cha msingi ni mwafaka wa kitaifa
ikulu ni mahali patakatifu ndo maana watakatifu wameenda kutembeza bakora huko.
mkuu umemsahau mh.said amour arfi mbunge wa mpanda mjini mkoani katavi,ambae ni makamo wa mwenyekiti wa chadema taifa huyu ni mzoefu wa siasa na msomi wa dini ya kiislam napia msomi wakidunia ana hekima sana,jk akileta maandiko au aya ktk kurani atawekwa sawa na arfi,ikumbukwe arfi ni imamu wa msikiti wa ibaadhi kule mpanda maeneo ya madukani,hapao naweza sema arfi ni twanga kotekote,jk akienda kwenye dini arfi yupo,akienda ktk siasa arfi kinara.Kwa mtazamo wangu hii team ni nzuri na imekuwa na mkusanyiko Mzuri wa Wanataaluma na Wanasiasa Mahiri. Tayari kuna Mwenyekiti wa Chama so it was not that important kuwa na Katibu pia. Zitto amerejea kutoka kwenye upasuaji mkubwa hivi karibuni, upasuaji uliohusisha tatizo ambalo pamoja na mambo mengine hali ilikuwa mbaya anapokuwa kwenye kazi zinazohitaji 'concentration' kubwa na kumnyima muda mzuri wa kupumzika so bado anahitaji muda wa kurecover. Timu hii ina 'Maprofessor' wawili ambao wamebobea kwenye mambo ya kisiasa, Lissu, Mnyika.. I believe watafanya kile kinachotegemewa na wengi kwa maslahi ya Taifa.
kwa sababu wasio watakatifu hawaalikwi ikulu!mnanifurahisha sana eti ikulu ni mahali patatifu kwa lipi?
hapo umena mkuu,zenj upinzani umebaki jina hata bendera za cuf zikipauka siku hizi hazibadilishwi,mfano ni ajali yameli mv spice cuf wangekua hawako serikalini zenj isingekalika,waliokufa wote ni wapigakura wa cuf,kungekua na maandamano ya vurugu sikuzote kuwataka wahusika wawajibike,lakin leo waziri wa mawasiliano na uchukuzi ni wa cuf basi amekaa kimya hakuna kujiuzulu wala nini,nae anataka ulaji wake uendelee. Ama kweli zenj upinzani umekufa.Ila wanachozungumza kiwe wazi wasituletee mambo ya ccm-zanzibar enzi za karume na maalimu seif na cuf "yake"walikua wanakutana hivi hivi ikulu ya zenj wananchi wakiuliza mnazungumza nini wanadai ni siri matokeo ya siri maalimu seif kuingizwa serikali na kuifanya zanzibar kuwa nchi ya chama kimoja,hakuna upinzani wa kuihoji serikali tena!
Kwa raha ambazo mahali pengine huwezi kuzipatamnanifurahisha sana eti ikulu ni mahali patatifu kwa lipi?
Mungu aliumba wajinga, wezi, wapumbavu, waungwana, wachafu wasafi nk nk, akawaweka duniani waishi pamoja hatuwezi kujitenga nao...ndio mana zitto na dr slaa kwa kuwa sio watakatifu hususan kwenye masuala ya ndoa hawajaenda!