Marhabaa bi snowhite, hujamba? nyumbani hajambo? haya, ukae kwa utulivu usianzishe fujo. If you mess with Mwali, you are messing with me big time.
:hatari:
Mimi nataka iwe hivi J K Mwali!!! Maana yake hapo umeshaupta u president kulingana na Theory yako. Yaani jina likianza na JK that means Prezdaa!!Lol Nafikiri hata The Boss itamvutia kuona another JKM
Ikiwa na maana AJ nakuja Ikulu nasema nataka kumuona President J K Mwali!! Najua wataniambaia Nimuone PM wako sina shaka atakuwa AshaDii, sitakubali , will want to see you maana this time lazima tumalizane!!
.. Nitakuuliza Mh JK Mwali why didnt you answer my PM wakati tukiwa bado wote kule JF!! Hah hah!! Nitasubiri jibu kwa hamu ...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.