Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
Jamani, naombeni mnisaidie kufikisha ujumbe huu kwa Rais wangu mpendwa kuwa kuanzia leo nimeamua kubadili Jina na kuitwa Whatever Muhando; najua baadhi yenu mtashangaa ila kuna ukweli mtupu kuwa RAHISI wetu anapendelea saaana kuwapa ulaji wale wote wenye majina ya Mikando ( plural)
Nimeenda kwa Mchungaji wangu na amekubali nibadili jina langu la asili na kuchukua jina hilo jipya ambalo litaniwezesha kupata Ukurugenzi wowote ule toka kwa kiranja mkuu. majina ya Muhando yana sifa kuu zifuatazo: Ni majina maalumu kwa ajili ya kupata Ukurugenzi, Pili, Wana-sifa ya kuwakusanya ndugu zao wote wanaotumia majina yao bila kuulizwa na mtu; si wana sifa bwana??? kwa mfano pale kwa TaaaBaaaCaaaaa; wapo wakinda Mihando wapatao wanne, huko kwene umeme sasa watafika 20, na ndio maana nikaaamua kubadili jina na kuitwa....Muhando.
Ikishindikana mimi kupata nafasi yoyote, naapa mwanangu wa kwanza ninayemtarajia hivi karibuni nitamuita Jina la Babu yake: Tigo Mhando. Hii itasaidia nae aingie kwenye orodha ya majina yanayo mkuna kiranja Mkuu.
Raisi wangu, nikumbuke hata kwenye Ukurugenzi wa Always Time Cancellation ( ATCL) au kule kwenye miundo mbinu ya mabarabara baada ya kumfukuza yule mtani wangu...
Nimeenda kwa Mchungaji wangu na amekubali nibadili jina langu la asili na kuchukua jina hilo jipya ambalo litaniwezesha kupata Ukurugenzi wowote ule toka kwa kiranja mkuu. majina ya Muhando yana sifa kuu zifuatazo: Ni majina maalumu kwa ajili ya kupata Ukurugenzi, Pili, Wana-sifa ya kuwakusanya ndugu zao wote wanaotumia majina yao bila kuulizwa na mtu; si wana sifa bwana??? kwa mfano pale kwa TaaaBaaaCaaaaa; wapo wakinda Mihando wapatao wanne, huko kwene umeme sasa watafika 20, na ndio maana nikaaamua kubadili jina na kuitwa....Muhando.
Ikishindikana mimi kupata nafasi yoyote, naapa mwanangu wa kwanza ninayemtarajia hivi karibuni nitamuita Jina la Babu yake: Tigo Mhando. Hii itasaidia nae aingie kwenye orodha ya majina yanayo mkuna kiranja Mkuu.
Raisi wangu, nikumbuke hata kwenye Ukurugenzi wa Always Time Cancellation ( ATCL) au kule kwenye miundo mbinu ya mabarabara baada ya kumfukuza yule mtani wangu...