JK is the best president

JK is the best president

Ni sahihi Kikwete ni rais mvivu wa kufikiri kuliko hata raisi wa kilabu cha wanzuki!
Amelala kiakili, wajinga tu ndiyo wanamwona bonge la raid..
 
Kuna aina nyingi sana za uongozi/management style ila hii ya JK nimeipenda sana. Nashauri ma CEO wa makampuni waitumie.And serious if you want your organization to be successfull then apply this one. JK ameweza kuwa frustrate watanzania na kila right yao wakaiona ni favor. Mfano Umeme usipokatika utasikia watu wanasema he leo vipi, maji hivyo hivyo, mafuta yakishuka bei hata shs 50 sherehe, sukari ikipatikana kwa urahisi watu wanasheherekea. Itafika sehemu hata mshahara watanzania wataona ni favor pia.

lakini labda ni kweli, ingekuwa ni haki wangefikiri tofauti. Hujawahi kuona mtu anamshukuru sana Rais kwa kuja kuwatembelea? Siwezi kusahau siku Mkapa alipoenda Mwanza baada ya ajali ya MV Bukoba, Mkuu wa Mkoa anamkaribisha Rais na kusema "Tunashukuru umeacha shughuli zako na kuja Mwanza!"!!!!
 
Kuna aina nyingi sana za uongozi/management style ila hii ya JK nimeipenda sana. Nashauri ma CEO wa makampuni waitumie.And serious if you want your organization to be successfull then apply this one. JK ameweza kuwa frustrate watanzania na kila right yao wakaiona ni favor. Mfano Umeme usipokatika utasikia watu wanasema he leo vipi, maji hivyo hivyo, mafuta yakishuka bei hata shs 50 sherehe, sukari ikipatikana kwa urahisi watu wanasheherekea. Itafika sehemu hata mshahara watanzania wataona ni favor pia.
Akili zetu zimetekwa kiasi kwamba hazitofautiani na yule jamaa aliyetoka Geita kwa baiskeli kuja ikulu kumpongeza Kikwete.
 
lakini labda ni kweli, ingekuwa ni haki wangefikiri tofauti. Hujawahi kuona mtu anamshukuru sana Rais kwa kuja kuwatembelea? Siwezi kusahau siku Mkapa alipoenda Mwanza baada ya ajali ya MV Bukoba, Mkuu wa Mkoa anamkaribisha Rais na kusema "Tunashukuru umeacha shughuli zako na kuja Mwanza!"!!!!

MM kwahiyo hawakutakiwa kushukuru ujio wa RAISI?
 
Akili zetu zimetekwa kiasi kwamba hazitofautiani na yule jamaa aliyetoka Geita kwa baiskeli kuja ikulu kumpongeza Kikwete.

Nani kakwambia yule dogo alitokea Geita? Anaishi TEMEKE yule
 
Back
Top Bottom