mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
Akiwa mbele ya mwenyeji wake pres.Olande'wa ufaransa, JK ametamka waziwazi kuwa ni mwafaka kwa Ufaransa kuingilia kisiasa nchini MALI,Huku akiwalaani kwa kitendo cha mwavuli wa uislamu wa kigaidi haukubaliki.
HEKO JK!
Source: BBC
HEKO JK!
Source: BBC