fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
JK atangaza ushindi kupitia facebook page yake
JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 | Facebook
JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 | Facebook
JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 Kwa ridhaa ya wananchi wa Tanzania,Mheshimiwa Rais Kikwete umekuchaguilwa katika kipindi kingine cha miaka mitano ya uongozi wa nchi hii,ili kuwatumikia wananchi katika shughuli zao za maendeleo ili kuliendeleza Taifa letu katika karne hii ya Ishirini na moja.Kwa niaba ya Vijana wenzangu wa Tanzania,napenda kutumia fursa hii kukupongeza kwa ushindi wa kishindo,pamoja na kukunakia kheri katika kuliongoza Taifa letu.
PRESIDENT MWIZI....!!!!!!!!!!!
shetwani awe nawe...!
JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 Kwa ridhaa ya wananchi wa Tanzania,Mheshimiwa Rais Kikwete umekuchaguilwa katika kipindi kingine cha miaka mitano ya uongozi wa nchi hii,ili kuwatumikia wananchi katika shughuli zao za maendeleo ili kuliendeleza Taifa letu katika karne hii ya Ishirini na moja.Kwa niaba ya Vijana wenzangu wa Tanzania,napenda kutumia fursa hii kukupongeza kwa ushindi wa kishindo,pamoja na kukunakia kheri katika kuliongoza Taifa letu.
Slaa ameangukia pua...
Nasi tunakupongeza RAIS WETU TUNAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA KWENYE KIPINDI CHAKO CHA UONGOZI WA 2010-2015, CHAGUO LA WENGI NI CHAGUO LA MUNGU, WASIO LITAKA HILO WAO WALITAKA KUWEKA CHAGUO LA SHETANI.
dont and never involve god in this!:a s angry::a s angry::a s angry::a s angry::a s angry::a s angry:
Huyu hapa chini ndie Rais wako...Afadhali kuangukia pua kuliko kuangukia ubongo na uti wa mgongo!!! Utakuwa taahira aliyeparalyse!!! Kipi bora!! Subiri.
Nasi tunakupongeza RAIS WETU TUNAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA KWENYE KIPINDI CHAKO CHA UONGOZI WA 2010-2015, CHAGUO LA WENGI NI CHAGUO LA MUNGU, WASIO LITAKA HILO WAO WALITAKA KUWEKA CHAGUO LA SHETANI.