JK apanda chati DRC!!!

viongozi wachache sana wenye uvumilivu kama jk hana haraka lakini kazi inafanyika.

Kweli kabisa kaka/dada. Embu fikiria kama rais wetu angekuwa ameshachoka sasa na kuamua liwalo na liwe kama alivyochoka waziri mkuu. Watu wangekuwa wanapigwa tuu.
 
Hata mimi napenda alichofanya JK lakini asisahau kuchukuwa madini na mbao huko kulipia gharama tunazoingia wakati wa kutekeleza jukumu letu la kuwafanya Wakongo nao waishi na kuifurahia nchi yao kama binadamu wengine.

Mapato hayo yataingia vipi TRA?
Au ndio kuneemesha Ufalme wake kwa mgogo wa Wanajeshi wakiTanzania.
 

Hapana mkuu. Jaribu kufikiri kwa kina kidogo. Tatizo la wacongo siyo woga. Congo ni nchi kubwa sana kieneo kiasi kwamba Congo ya mashariki na ya kule magharibi haziunganishwi na barabara, lugha wala utamaduni. Kama ambavyo muhaya na mngoni wanaunganishwa na vitu nilivyovitaja hapo juu, Congo jambo hilo halipo. (Hiyo ni moja tuu ya madhara ya mipaka yetu kuchorwa Berlin). Kwa mfano, mtu kama Dr. Remmy (RIP). Ingawa yeye alikuwa m-Congo, lakini alijiona anafanana zaidi kitamaduni na Tanzania kuliko Congo. Na hiyo ndiyo hali halisi ya Congo ya mashariki, kuanzia Uvira/Goma juu kule mpaka Lubumbashi na Kisangani huku chini. Na ndiyo maana ni vigumu sana kuwa-organise wa-Congo kuwa na jeshi imara. Sasa watu wenye tamaa kama Kagame wanalijua hilo na wanajinufaisha kwa kuangamiza wengine.
 
Jk lazima asifiwe coz ni mnafiki,siku zote mataifa ya nje husifia mnafiki
 
Jk lazima asifiwe coz ni mnafiki,siku zote mataifa ya nje husifia mnafiki
. Wewe una lako na J.K. Muache Rais wetu, anachofanya ni jambo jema sana na Mungu anaendelea kmbariki!
 

nasubiria hii seies kuiona aisee..
 
DRC waende mbali zaidi waruhusu JK awe Rais wao kama hawajajuutaa kuzaliwa.
 
Kagame amechachokwa na mabwana zake sasa siku zake zinahesabika.
 

Usimpe mtu sifa kabla ya mission kukamilika maana adui anaweza akajipanga upya na kusababisha madhala makubwa kwa unayempa sifa. Cha msingi ni kusubili huo muda aliopewa adui kuisha n if an enemy [M 23] is not going to accept altimatum kitakachofuata hatujui. Tumelianzisha TPDF na tusubili matokeo. I will be proud of my country if TPDF is going to accomplish the mission. Na hili litakuwa somo kwa P. Kagame & J. Banda
 
inasemwa asilimia 95 ya M23 ni wanyarwanda.
 
. Wewe una lako na J.K. Muache Rais wetu, anachofanya ni jambo jema sana na Mungu anaendelea kmbariki!

Yakuza unanipotezea attention kwenye mada kwa Avatar yako jamani.
Hata hivyo, Raisi wetu yupo sahihi kabisa katika hili.
 
Kuna mtu alileta mada jamvini akasema Congo D.R imesaini mkataba na Kenya kutumia Bandari ya Mombasa na mizigo itakuwa inapitia bandari ya nchi kavu itakayokuwa RWANDA!Yaani mpaka leo siamini kama kuna ukweli katika hili, yaani Joseph Kabila uhusiano wake ulivyo na KAGAME kwasasa aruhusu hilo??

Turudi kwenye mada, nawapongeza sana MONUSCO na Jeshi la Congo D.R kwa ushindi wanaoelekea kuupata dhidi ya madhalimu wa M23.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…