Pamoja na ufisadi wake, Mzee Lowassa alikuwa bora na alistahili kuwa Rais 2015

Zillion

JF-Expert Member
May 15, 2017
1,358
1,807
Wakuu aslaam!

Pamoja na ufisadi na mambo yote mabaya ambayo either Lowasa alihusishwa au kuhusika bado alikuwa mtu sahihi sana kuwa rais 2015

Kwanza Lowasa ana uthubutu mkubwa sana. Miaka hiyo wamasai wakiteseka kusaka maji kwaajili ya mifugo, Lowassa alipeleka ma buldoza yakachimba maeneo ambayo maji hutuama wakati wa mvua na kuongeza kina hivyo maji yakapatikana muda wote.

Lowassa ndiye mwasisi wa shule za kata nchini, alipigania na kusimamia kilamilifu ujenzi na miundombinu ya shule za kata kwa nguvu zote na tunachokiona leo ni matokeo ya mawazo na juhudi zake.

Lowasa ndiye aliyesimama kidete kutoa maji Ziwa Victoria na kuwasambazia wananchi licha ya ukinzani mkubwa wa wamisri na mataifa makubwa kupiga kelele, bado alisimama na kuhakikisha maji ya Ziwa Victoria yanasambazwa nchi nzima na kumaliza tatizo la maji ambayo kwasasa yamefika Tabora.
Naamini kama angepewa nafasi leo mgao wa maji ungekuwa historia.

Baada ya Rais kutudanganya tena jana kwamba tatizo la mgao wa umeme linatokana na matengezo ya miundombinu ya umeme, kwa Mara nyingine nimemkumbuka Lowassa.

Lowassa ni kiongozi wa vitendo na sio maneno kama ilivyo kwa huyu mvaa ushungi hopeless!!
 
shida ya hii nchi sio mtu,shida ni ccm... as long as uko ccm utaiba tu, ndo maana hata magufuli aliponza harakati za kuwapiga pini hao hao ccm wenzake walimuita mshamba, limbukeni na matusi mengine, kumbukumbu simu zilizovuja za kina kinana na membe na nape... sasa kama wana ccm wanamuona mshamba mtu asiyeiba, maana yake hilo lichama sera yake ni iba, shiba, weka na mwanao aendelee kuiba.... kataa ccm, ndio chanzo cha umaskini na unyonge wa tz
 
Wakuu aslaam!

Pamoja na ufisadi na mambo yote mabaya ambayo either Lowasa alihusishwa au kuhusika bado alikuwa mtu sahihi sana kuwa rais 2015

Kwanza Lowasa ana uthubutu mkubwa sana
Miaka hiyo wamasai wakiteka kusaka maji kwaajili ya mifugo Lowasa alipeleka ma buldoza yakachimba maeneo ambayo maji hutuama wakati wa mvua na kuongeza kina hivyo maji yakapatikana muda wote.

Lowasa ndiye mwasisi wa shule za kata nchini, alipigania na kusimamia kilamilifu ujenzi na miundombinu ya shule za kata kwa nguvu zote na tunachokiona leo ni matokeo mawazo na juhudi zake.

Lowasa ndiye aliyesimama kidete kutoa maji Ziwa Victoria na kuwasambazia wananchi licha ya ukinzani mkubwa wa wamisri na mataifa makubwa kupiga kelele, bado alisimama na kuhakikisha maji ya Ziwa Victoria yanasambazwa nchi nzima na kumaliza tatizo la maji ambayo kwasasa yamefika Tabora.
Naamini kama angepewa nafasi leo mgao wa maji ungekuwa historia.

Baada ya Rais kutudanganya tatizo la mgao wa umeme linatokana na matengezo kwa Mara nyingine nimemkumbuka Lowasa.
Lowasa ni kiongozi wa vitendo na sio maneno kama ilivyo kwa huyu mvaa ushungi hopeless!!
Lowasa na Magu waliweza ukilinganisha na balaa tulilo nalo sahivi
 
shida ya hii nchi sio mtu,shida ni ccm... as long as uko ccm utaiba tu, ndo maana hata magufuli aliponza harakati za kuwapiga pini hao hao ccm wenzake walimuita mshamba, limbukeni na matusi mengine, kumbukumbu simu zilizovuja za kina kinana na membe na nape... sasa kama wana ccm wanamuona mshamba mtu asiyeiba, maana yake hilo lichama sera yake ni iba, shiba, weka na mwanao aendelee kuiba.... kataa ccm, ndio chanzo cha umaskini na unyonge wa tz
Ni kweli usemacho mkuu,

Tunatambua kwamba adui namba moja wa Tanzania ni CCM na ni lazima tuiondoe madarakani.
Hata hivyo ndani ya huo mfumo mbovu kuna watu walijitutumua na wakafanya makubwa kwaajili ya wananchi

Lowasa, mzee Warioba na Antony Mtaka
Historia itawaandika.
 
Wakuu aslaam!

Pamoja na ufisadi na mambo yote mabaya ambayo either Lowasa alihusishwa au kuhusika bado alikuwa mtu sahihi sana kuwa rais 2015

Kwanza Lowasa ana uthubutu mkubwa sana
Miaka hiyo wamasai wakiteka kusaka maji kwaajili ya mifugo Lowasa alipeleka ma buldoza yakachimba maeneo ambayo maji hutuama wakati wa mvua na kuongeza kina hivyo maji yakapatikana muda wote.

Lowassa ndiye mwasisi wa shule za kata nchini, alipigania na kusimamia kilamilifu ujenzi na miundombinu ya shule za kata kwa nguvu zote na tunachokiona leo ni matokeo mawazo na juhudi zake.

Lowasa ndiye aliyesimama kidete kutoa maji Ziwa Victoria na kuwasambazia wananchi licha ya ukinzani mkubwa wa wamisri na mataifa makubwa kupiga kelele, bado alisimama na kuhakikisha maji ya Ziwa Victoria yanasambazwa nchi nzima na kumaliza tatizo la maji ambayo kwasasa yamefika Tabora.

Naamini kama angepewa nafasi leo mgao wa maji ungekuwa historia.

Baada ya Rais kutudanganya tatizo la mgao wa umeme linatokana na matengezo kwa Mara nyingine nimemkumbuka Lowassa.

Lowasa ni kiongozi wa vitendo na sio maneno kama ilivyo kwa huyu mvaa ushungi hopeless!!
Kwa nini hukumchagua sasa awe rais hiyo 2015?
 
Mimi nilikuwa ni kijana wa kazi za kisiasa za Laigwanan mzee ENL.... uwezo wa maamuzi anao tena mkubwa sana.....

Ila......

Kwa faida ya chama...

Kwa faida mtambuka ya nchi....

Uamuzi uliofanywa ulikuwa ni SAHIHI.....SAHIHI haswa.......

Collective responsibility brought us JPM and now her excellence President Samia Suluhu Hassan.....

We thank Almighty God for the safety of our party and the country

#SiempreJMT
 
Mimi nilikuwa ni kijana wa kazi za kisiasa za Laigwanan mzee ENL.... uwezo wa maamuzi anao tena mkubwa sana.....

Ila......

Kwa faida ya chama...

Kwa faida mtambuka ya nchi....

Uamuzi uliofanywa ulikuwa ni SAHIHI.....SAHIHI haswa.......

Collective responsibility brought us JPM and now her excellence President Samia Suluhu Hassan.....

We thank Almighty God for the safety of our party and the country

#SiempreJMT
Hatuhitaji safety ya chama
Tunahitaji safety ya nchi yetu.

Maslahi ya chama chenu na matumbo yenu ndio yametufikisha hapa
Mmeuza bandari
Mmeuza ngorongoro
Mmeuza gesi
Mmeharibu bei za mazao yote kuanzia tumbaku, pamba, kahawa, katani, korosho, zabibu, mahindi, nk
Haya hayafanywi kwa bahati mbaya

Miaka ya 70's Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa katani duniani yes, namaaniasha Duniani!! Leo?

Lengo la ccm ni kuhakikisha wananchi wanabaki masikini ili watumie umaskini huo kuwatawala.
Silaha namba moja ya ccm ni umaskini wa Watanzania, hawawezi kukubali watu wapate pesa, watashindwa kuwadanganya kwa khanga na kofia na elf tano tano wanazohonga wakati wa uchaguzi.

Tunaelewa vizuri sana.
 
Hatuhitaji safety ya chama
Tunahitaji safety ya nchi yetu.

Maslahi ya chama chenu na matumbo yenu ndio yametufikisha hapa
Mmeuza bandari
Mmeuza ngorongoro
Mmeuza gesi
Mmeharibu bei za mazao yote kuanzia tumbaku, pamba, katani, korosho, zabibu mahindi, nk
Haya hayafanywi kwa bahati mbaya

Miaka ya 70's Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa katani duniani yes, namaaniasha Duniani!! Leo?

Lengo la ccm ni kuhakikisha wananchi wanabaki masikini ili watumie umaskini huo kuwatawala.
Silaha namba moja ya ccm ni umaskini wa Watanzania, hawawezi kukubali watu wapate pesa, watashindwa kuwadanganya kwa khanga na kofia na elf tano tano wanazohonga wakati wa uchaguzi.

Tunaelewa vizuri sana.

Maendeleo hayawezi kupatikana bila UTULIVU na AMANI.....

CCM inalinda amani ya nchi hii....

CCM inalinda utulivu wa nchi hii....

Mazingira hayo yanafanya watanzania waishi kwa UHURU wa kuyatafuta maendeleo yao(tofauti na Kongo ,Sudan , Ethiopia ,Somalia).....

Ni rahisi kuwa na mali ukiwa Tanzania....

Lakini pia ni rahisi kuwa masikini ukiwa Tanzania

Kwa hao wa pili ni KUSHINDWA kuziona fursa hizo.....

CCM imefanikiwa kupiga vita UBAGUZI WA KIKABILA ,KIDINI NA KIKANDA......

#SiempreJMT
 
Wakuu aslaam!

Pamoja na ufisadi na mambo yote mabaya ambayo either Lowasa alihusishwa au kuhusika bado alikuwa mtu sahihi sana kuwa rais 2015

Kwanza Lowasa ana uthubutu mkubwa sana
Miaka hiyo wamasai wakiteseka kusaka maji kwaajili ya mifugo, Lowassa alipeleka ma buldoza yakachimba maeneo ambayo maji hutuama wakati wa mvua na kuongeza kina hivyo maji yakapatikana muda wote.

Lowassa ndiye mwasisi wa shule za kata nchini, alipigania na kusimamia kilamilifu ujenzi na miundombinu ya shule za kata kwa nguvu zote na tunachokiona leo ni matokeo ya mawazo na juhudi zake.

Lowasa ndiye aliyesimama kidete kutoa maji Ziwa Victoria na kuwasambazia wananchi licha ya ukinzani mkubwa wa wamisri na mataifa makubwa kupiga kelele, bado alisimama na kuhakikisha maji ya Ziwa Victoria yanasambazwa nchi nzima na kumaliza tatizo la maji ambayo kwasasa yamefika Tabora.
Naamini kama angepewa nafasi leo mgao wa maji ungekuwa historia.

Baada ya Rais kutudanganya tena jana kwamba tatizo la mgao wa umeme linatokana na matengezo ya miundombinu ya umeme, kwa Mara nyingine nimemkumbuka Lowassa.

Lowassa ni kiongozi wa vitendo na sio maneno kama ilivyo kwa huyu mvaa ushungi hopeless!!
Pascal Mayalla ni shahidi mzuri wa hili.
 

Maendeleo hayawezi kupatikana bila UTULIVU na AMANI.....

CCM inalinda amani ya nchi hii....

CCM inalinda utulivu wa nchi hii....

Mazingira hayo yanafanya watanzania waishi kwa UHURU wa kuyatafuta maendeleo yao(tofauti na Kongo ,Sudan , Ethiopia ,Somalia).....

Ni rahisi kuwa na mali ukiwa Tanzania....

Lakini pia ni rahisi kuwa masikini ukiwa Tanzania

Kwa hao wa pili ni KUSHINDWA kuziona fursa hizo.....

CCM imefanikiwa kupiga vita UBAGUZI WA KIKABILA ,KIDINI NA KIKANDA......

#SiempreJMT
CCM inalinda utulivu na amani?
Hii ni njia laini ya kusema CCM inalinda ujinga.
 
Back
Top Bottom