Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
Ni haki yake kulipiwa kwanza amelitumikia taifa hili kuliko huyo Shekhe Yahya ambaye naye alilipiwa na JK kweli Mrema amelitumikia Taifa hili kwa hali na mali uaminifu wake kwa taifa ndio ulimpoza ndugu yangu alifikiri wako wengi wa aina yake serikalini kumbe yupo pekeyake.
sheikh yahya amelitumikia taifa hili tokea enzi za nyerere, amemtumikia sana nyerere "devil advocate"