Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Lakini ni binadamu kama binadamu wengine hivyo kama Jk ameamua kulipa Gharama za usafiri ni vizuri tu hakuna shaka kabisa
So now whatever J.K. Does tends to annoy someone (if not everyone!)? Wait till your Paps falls sick and you can't afford that hard cash to Indian medical services (let alone Apollo Medical Centre 'as quoted'), there now you'll discover what's good and what's bad for you and for J.K.
let him be paid for and get well soon!
Ni haki ya kila raia kugharamiwa nje matibabu ambayo hayapatikani hapa nchini. Najua wizara ya afya inao utaratibu kama huo wa rufaa za kwenda kutibiwa nje. Sioni cha ajabu wala siasa yoyote katika hili. Mbona watoto wadogo wasiojulikana katika siasa zozote zile wanapelekwa nje kutibiwa na serikali, sema tu ni kunakuwa na foleni kubwa ya kusubiria. Na hatujui huyo Mrema alipewa hii rufaa lini na kasubiri hii fursa toka lini.
Tupunguze tafsiri zisizo na maana nzuri kwenye kila kitu. Siku hizi hata mwanamke yoyote akipewa cheo kikubwa tu utasikia wakisema ni 'chakula ya JK'. Ujinga mtupu huu.
Ni fedha za Serikali kutoka mfuko maalum wa misaada ya aina hiyo na wala si msaada binafsi.Huu ni msaada binafsi wa JK tuseme kwa huruma yake kwa mzee wa Kiraracha.
So now whatever J.K. Does tends to annoy someone (if not everyone!)? Wait till your Paps falls sick and you can't afford that hard cash to Indian medical services (let alone Apollo Medical Centre 'as quoted'), there now you'll discover what's good and what's bad for you and for J.K.
let him be paid for and get well soon!
Acha utani wakati ndugu huyu anaumwa,Taarifa nilizozipata hivi punde Nikiwa hapa mjini Dodoma kutoka kwa source ya kuaminika ni kuwa Agustino Mrema amepelekwa Nchini India kutibiwa .
Aliyemsafirisha ni Rais Jakaya Kikwete.
My take;
Ndio maana alikuwa anampigia filimbi JK kumbe alikuwa anataka kupata malipo?
Akirudi anaweza naye kuwa mtabiri kama Sheikh Yahaya,juu ya urais wa JK?
Hii taarfa yako haijakamilika.Taarifa nilizozipata hivi punde Nikiwa hapa mjini Dodoma kutoka kwa source ya kuaminika ni kuwa Agustino Mrema amepelekwa Nchini India kutibiwa .
Aliyemsafirisha ni Rais Jakaya Kikwete.
My take;
Ndio maana alikuwa anampigia filimbi JK kumbe alikuwa anataka kupata malipo?
Akirudi anaweza naye kuwa mtabiri kama Sheikh Yahaya,juu ya urais wa JK?
Taarifa yako haijakamilika.Taarifa nilizozipata hivi punde Nikiwa hapa mjini Dodoma kutoka kwa source ya kuaminika ni kuwa Agustino Mrema amepelekwa Nchini India kutibiwa .
Aliyemsafirisha ni Rais Jakaya Kikwete.
My take;
Ndio maana alikuwa anampigia filimbi JK kumbe alikuwa anataka kupata malipo?
Akirudi anaweza naye kuwa mtabiri kama Sheikh Yahaya,juu ya urais wa JK?
Amelipiwa gharama zote na JK ,na hapa sisemi kuwa ni serikali no. Ni JK personaly ndio amelipia gharama zote kuanzia tiketi ya ndege hadi matibabu yake yote akiwa huko.
Mkuu hata katika maandiko kuna sehemu inasema "....KUWA MWAMINIFU HATA KUFA.." Kama habari hii ni kweli basi Mrema hafai asilani, huwezi kuwa kiongozi mzuri kwa kuukana ukweli ulioupigania miaka mingi eti ili ulipiwe gharama ya matibabu ya kisukari.
Kwani anapopotosha ukweli kuwa Uongozi wa JK umeleta maendeleo hajui wananchi wangapi wana poteza maisha yao kwa malaria tu huko vijijini?
Kwa upotoshaji huu hajui anachangia wengi kufa huko mbeleni kutokana na uzembe wa viongozi anaowapamba ili wananchi wanaomwamini yeye Mrema wawachague tena?
Mrema ni msaliti,Mwongo na asiye faa kuwa kiongozi kama ni kweli aliukana ukweli na kujikomba ili kubembeleza kugharamiwa matibabu India.
Hata hivyo namtakia afya njema. Lakini ajue kuna wengi ambao wanakufa kwa kukosa matibabu ambayo yanapatikana hata kwenye Zahanati vijijini na sababu ni hao hao waliomlipia kwenda India.
Taarifa nilizozipata hivi punde Nikiwa hapa mjini Dodoma kutoka kwa source ya kuaminika ni kuwa Agustino Mrema amepelekwa Nchini India kutibiwa .
Aliyemsafirisha ni Rais Jakaya Kikwete.
My take;
Ndio maana alikuwa anampigia filimbi JK kumbe alikuwa anataka kupata malipo?
Akirudi anaweza naye kuwa mtabiri kama Sheikh Yahaya,juu ya urais wa JK?