Rafiki taratibu. Kwanini unatutukana? Jifunze kuchangia hoja kwa ustaarabu. Kila mahali wako watu wa ndiyooooo, lakini nasema hatudanganyiki mwaka huu.
Rafiki una data za mwaka gani wewe? Ilikuwa zamani. Hivi sasa wasukuma tunasoma aisee, acha kabisa.
Ametangaza pia mkuu wa chuo hicho atakuwa ridhiwani mwakikwete na director of studies atakuwa january makamba, security officer wa chuo kinana
Wewe ngedele watake radhi wasukuma.Ni wapi jemedali wenu kaanza kuzomewa kama si kwa wasuma Shinyanga? Kwingine kote mlikuwa mnamlea kamaaaa--nanihiiiii.Nilitaka niandike neno la aibu juu yako nimekumbuka wewe ni mwanaJF .Jifunze kuanguka jamvini si kuingia kama Riziwani alivyoingia iring ana kutolewa Benzi.Tafakariii njomba utabaainiii tu
TUNAWASUBIRI KIZIMBANI 31st Dec kwani naona nyie mmepewa akili lakini zipo kwenye makalio,na mnaziacha mlipokuwa mmekaa..Ungekuwa una akili ungetambua kwamba hakuna ulazima wa kuhama na watu kutokea mkutano flan na kuwapeleka mwingine ukawahutubia,lakini pia ukajiuliza kwa nini kama mtu una sera zinazohuzika utumie fedha nyingi kiasi hicho kwa kusomba watu tu..? Hakika hawa waarabu waliotoa magari,wengine mafuta ya bure kwenye sheli zao watazirudisha kwa kutolipa kodi zetu..ILA SIKU ZINAHESABIKA,kama siyo ninyi leo,kizazi chenu keshokutwa!
kudadadekiSasa mlitaka watu wote hao wafike uwanjani kwa miguu? Mungu kawaumbeni kwa kuweka akili zenu kwenye nyayo zenu badala ya kwenye vichwa vyenu ama ndiyo vipi? :becky: :becky: :becky:
..COZ CCM WALIPITA MITAANI NA MAGARI YAO WAKITANGAZA UWEPO WAO (ZEE COMEDY, MARLOW na DIAMOND) ZAIDI YA JK.:becky:
Hivi mtu ambaye alikishafungwa kwa makosa ya jinai kama Rage bado anruhusiwa kuwa kiongozi??? Hivi sheria inasemaje kuhusu watu wenye crinal trecords??? Maana kama sikosei Rage alifungwa miaka 2 vile??
I don't see anything wrong with the idea of having at least one university for every region in Tanzania.
I'd like this one to be called "SHINYANGA AM UNIVERSITY" or SHINYANGA TECH. UNIV (STU) specializing in Geological studies, Biotech, Fishery and mining engineering due to its proximity to the Geita and Mwadui mining sites as well as Sangara fishing industry in the lake Nyanza basin. I do not wanna see any social, arts or liberal studies....only Science and Tech.
Go JK
Hii ni ahadi tu ya uchaguzi. Baadaye watakwambia kuwa haitekelezeki.