CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
I have a vivid memory, siku anaongelea mgomo wa madaktari, alisema kuwa madaktari wataogezewa mishahara kama wafanyakazi wengine kati ya asilimia 15-20. Sio kweli, ni chini ya hapo tena sana. KUMBE NA MARAIS WANASEMA UONGO!