Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
katika kipindi cha television ya INITIATIVE AFRICA leo asubuhi kupitia KBC ya Kenya...............alionekana JK akiwa AU na alihojiwa na waandishi wa habari kama anaona machafuko ya kudai demokrasia na uhuru zaidi wa kiuchumi na kisiasa yaliyoanza Tunisia, Misri na kusambaa nchi za kiarabu kama yanaweza kusambaa Afrika nzima.............................Jk akiwa anaonekana mwenye ghadhabu nzito alisema.......................na ninamnukuu................................"This is out of discussion"...................................huku akipunga mkono wa kuwanyamazisha waandishi hao wa habari......................................
Are revolts really out of discussion????????????????????????
Are revolts really out of discussion????????????????????????