Yeye hakutakiwa kulikimbia hilo swali hata kidogo.wanatakiwa kufanya mambo ya mhimu sana katika kipindi hiki ili kunusuru machafuko.
Acha matani yako Bana.
Kama swali lilikuwa out of Discussion ulitaka akujibu nini sasa?
Hawajui kwamba Rais wetu huwa anapewa maswali kabla ya Press conference ili akariri majibu?
Wanadhani yeye ni kama marais wao wanaoweza kujibu swali lolote muda wowote?
Kwa nini hawakuja kuomba ushauri kwa waandishi wetu ili wajue namna ya kudeal naye?
Besides, nani kawapa kibali cha kumbugudhi Rais wetu wakati alienda mapumzikoni kwa kigezo cha ziara ya kikazi?
Pia unavyosema wanusuru machafuko, watayanusuru vipi wakati wapinzani ndiyo wanayasababisha?
Wanapata hela kutoka nje ili wavuruge amani ya nchi (Sofia Simba)
Yeye hakutakiwa kulikimbia hilo swali hata kidogo.wanatakiwa kufanya mambo ya mhimu sana katika kipindi hiki ili kunusuru machafuko.
wangemuuliza kiswahili angejibu fresh tuhata lugha kwa huyu jamaa yetu haipandi..........