una maana anaenda kufanyiwa kazi kwenye ofisi hii???
JK zunguka mwa kwetu, maisha yenyewe mafupi haya, zunguka baba, jinafasi, jiachie angalau tukukumbuke kwa hili.
Ne ivyo mmaa !
Nimesoma kwenye michuzi blog, JK ameenda UK leo asubuhi kwa ziara ya kikazi.
Ni juzi tu nilikuwa najiuliza kama ameshawahi kukaa japo mwezi akiwa ofisini anaangalia files au anasoma vitabu au ku'review' mambo mbalimbali yanayoendelea nchini sikupata jibu.
Vile imeandikiwa ziara siwezi kujua kama ina tija kwa Taifa au ila ifike wakati ambapo ziara zake ziwe zinaratibiwa ili kupunguza matumizi. Nchi yetu ni tajiri lakini inakuwa maskini kwasababu ya kutokuwa na maono na vipaumbele
atatulia lini jamani?!
Continue Reading HereThe London Conference on Somalia is being held on Thursday next week, February 23rd. Chaired by UK Prime Minister, David Cameron, over fifty
delegations are expected.
In addition to members of the international community and frontline states, there will be representatives from the TFIs, of the Puntland and Galmudug administrations, of Ahlu Sunna wal Jamaa, and from Somaliland. Last week, the UK Foreign
Secretary, William Hague, following his own visit to Mogadishu, laid out the UKs aims for the
Conference including the need for a better
international strategy to address Somalias
problems and help its
people. He described a
more stable Somalia as vital to the UKs national security, essential for the
stability for the Horn of Africa........
hapo ni kama anamuambai wewe jamaa bana nasikia ofisi yako inanuka mavvi bhana hadi kule JF wamekurusha bana
Nimesoma kwenye michuzi blog, JK ameenda UK leo asubuhi kwa ziara ya kikazi.
Ni juzi tu nilikuwa najiuliza kama ameshawahi kukaa japo mwezi akiwa ofisini anaangalia files au anasoma vitabu au ku'review' mambo mbalimbali yanayoendelea nchini sikupata jibu.
Vile imeandikiwa ziara siwezi kujua kama ina tija kwa Taifa au ila ifike wakati ambapo ziara zake ziwe zinaratibiwa ili kupunguza matumizi. Nchi yetu ni tajiri lakini inakuwa maskini kwasababu ya kutokuwa na maono na vipaumbele
kama ameondoka asubuhi basi atakuwa amesafiri na britishi airways ya saa kumi na mbili na nusukwanza amesafiri na shirika gani la ndege..? maana najua ile G5 bado iko savanna haijalipiwa.. mara ya mwisho aliondoka na Qatar Airways mpaka davos.. halafu akarudi na another commercial Airline mpaka Ethopia ambako alifuatwa na fokker 28 na kurudishwa home..
Nimesoma kwenye michuzi blog, JK ameenda UK leo asubuhi kwa ziara ya kikazi.
Ni juzi tu nilikuwa najiuliza kama ameshawahi kukaa japo mwezi akiwa ofisini anaangalia files au anasoma vitabu au ku'review' mambo mbalimbali yanayoendelea nchini sikupata jibu.
Vile imeandikiwa ziara siwezi kujua kama ina tija kwa Taifa au ila ifike wakati ambapo ziara zake ziwe zinaratibiwa ili kupunguza matumizi. Nchi yetu ni tajiri lakini inakuwa maskini kwasababu ya kutokuwa na maono na vipaumbele