Nimesoma kwenye michuzi blog, JK ameenda UK leo asubuhi kwa ziara ya kikazi.
Ni juzi tu nilikuwa najiuliza kama ameshawahi kukaa japo mwezi akiwa ofisini anaangalia files au anasoma vitabu au ku'review' mambo mbalimbali yanayoendelea nchini sikupata jibu.
Vile imeandikiwa ziara siwezi kujua kama ina tija kwa Taifa au ila ifike wakati ambapo ziara zake ziwe zinaratibiwa ili kupunguza matumizi. Nchi yetu ni tajiri lakini inakuwa maskini kwasababu ya kutokuwa na maono na vipaumbele
Ni juzi tu nilikuwa najiuliza kama ameshawahi kukaa japo mwezi akiwa ofisini anaangalia files au anasoma vitabu au ku'review' mambo mbalimbali yanayoendelea nchini sikupata jibu.
Vile imeandikiwa ziara siwezi kujua kama ina tija kwa Taifa au ila ifike wakati ambapo ziara zake ziwe zinaratibiwa ili kupunguza matumizi. Nchi yetu ni tajiri lakini inakuwa maskini kwasababu ya kutokuwa na maono na vipaumbele