Mabwepande
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 230
- 51
Eti Dokta, labda udokta wa kusafiri.
Moja wapo ni safari ya jamaicaUpdate database ya safari zile 322!
Kakasirika meeting haiishi.
mbona jamaa kakasirika?
watanzania tuwe na adabu kidogo.Mkuu wa nchi kenda kutafuta na pia bint anasoma kule na kuna ambaye kamaliza shule anatakiwa atayarishiwe mambo.Pia tukumbuke kuwa alitkea wizara ya mambo ya nje na kusafiri imo ndani ya damu.Nimesoma kwenye michuzi blog, JK ameenda UK leo asubuhi kwa ziara ya kikazi.
Ni juzi tu nilikuwa najiuliza kama ameshawahi kukaa japo mwezi akiwa ofisini anaangalia files au anasoma vitabu au ku'review' mambo mbalimbali yanayoendelea nchini sikupata jibu.
Vile imeandikiwa ziara siwezi kujua kama ina tija kwa Taifa au ila ifike wakati ambapo ziara zake ziwe zinaratibiwa ili kupunguza matumizi. Nchi yetu ni tajiri lakini inakuwa maskini kwasababu ya kutokuwa na maono na vipaumbele
Mpe hi Malkia
Alafu usikose piga picha pale kwa mnara wa saa ili tujue kweli ulikuwa uko!
Sipati picha lundo la watu alio enda nao uko!
hacheki cheki maana hajui kiingereza sasa akicheka cheka watamuuliza unacheka niniHee, kumbe tabasamu anatumwagia wabongo tu, akiwa na kina cameron anakua siriasi
Hee, kumbe tabasamu anatumwagia wabongo tu, akiwa na kina cameron anakua siriasi
Nimesoma kwenye michuzi blog, JK ameenda UK leo asubuhi kwa ziara ya kikazi.
Ni juzi tu nilikuwa najiuliza kama ameshawahi kukaa japo mwezi akiwa ofisini anaangalia files au anasoma vitabu au ku'review' mambo mbalimbali yanayoendelea nchini sikupata jibu.
Vile imeandikiwa ziara siwezi kujua kama ina tija kwa Taifa au ila ifike wakati ambapo ziara zake ziwe zinaratibiwa ili kupunguza matumizi. Nchi yetu ni tajiri lakini inakuwa maskini kwasababu ya kutokuwa na maono na vipaumbele
Mmmh........mmmh.....
Sio anajifanya yuko siriasi?
Hapo anatamani kusinzia,basi tu kwa aibu amejikaza,ndo maana kakunjasura.