Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,769
- 54,090
- Thread starter
- #101
Noana Sasa shetani aki zeeka ana jifanya malaika🤣😆.I'm Jesus' cousin wewe kijana,binti gani unazungumzia? Ushindwe pepo.
Noana Sasa shetani aki zeeka ana jifanya malaika🤣😆.I'm Jesus' cousin wewe kijana,binti gani unazungumzia? Ushindwe pepo.
si kila mtoto wa mtaani unaemuona hatunzwi!!Muda mwingine huwa nawaza tu, hivi Hawa watoto walioko mtaani ni kosa au matokeo ya nani??.
jibu ni sisi , ndio ni Mimi na wewe, Kama sio sisi, ni yule au wale. Haijalishi we ni mzuri auhandsome Sana.
Jua Kuna kitoto kina umia mtaani, kwa sababu ya ujinga na maamuzi yako ya kipuuzi.
Una jiita best dad, akati uli kataa mtoto na kumtelekeza aka teseke na mama yake halafu una fungua mdomo Eti I hate single moms(mzee hii dhambi ita ku hunt aidha kwa kujua au kuto kujua).
na wewe binti USI hisi niko hapa kutetea uzuzu wa mtu, ehh naongea na wewe bingwa wa kuchanua mapaja, kisa Ume ambiwa uta olewa au kupendwa sana.
ehh we si una jiona gold diggers a.k.a bingwa wa kutoa mimba, IPO siku ita nasa, halafu haita toka, na sijui uki mzaa uta mtupa huyo mtoto ka yule mwingine?
Ina sikitisha mnoo, watoto Hawa Wana ndoto ka hao wanao ulio nao Sasa.
Usha waza Ile saa mwanao au wanao Wana lala kwenye godoro la 5*6,
halafu Kuna wale watoto kula tu mtihani??, ndo Hawa wanao vizia waibe hapo kwako, Afu uta sema wezi wabaya big no ni matokeo ya ujinga wako tu.
aisee we better wake up Kama jamii, wajibika uki shindwa tumia Kinga, kihurumie kizazi kijacho.
I mean no malice to nobody
View attachment 2972996
Maneno yenu vijana🤣Noana Sasa shetani aki zeeka ana jifanya malaika🤣😆.
Mbona sija futa kitu???, au ndo illusion zime kuanza🤣😆Maneno yenu vijana🤣
Ulichofuta umenifurahisha hadi wanaonitazama wamehisi siko nao sambamba kimawazo🤣
Nafikiri 😅Mbona sija futa kitu???, au ndo illusion zime kuanza🤣😆
Sio somanjiro tena 😆, ndo kutaka uone kane mhuni, kumbe hata kushika kiberiti huwezi 😆🤣Nafikiri 😅
Ngoja nimalizie soga na wavuta bangi wenzangu hapa nisijetoa maneno ya bwana kijiweni ,ni kinyume cha utaratibu wa wahuni wa tandale.
Application gani mna tumia hapo??, oya niunge niteme ung'eng'e wa Harvard😆🤣Karibu simanjiro tupige soga.
View attachment 2973179
Microsoft TApplication gani mna tumia hapo??, oya niunge niteme ung'eng'e wa Harvard😆🤣
Nita I check, nipe code yako kesho niku twangie Nikiwa Huku u joblesini 😆Microsoft T
Mbona tunaongea kimakonde hapa,baki na ung'eng'e wako utatuvuruga ubongo.
Hapana sio hiyo,unapenda kuzozana kijana.....kama hujaiona ndio basi hivyo ila ni ya jirani nimeazima nijifunzie kucharaza maneno kwa kicharazo chake maana nasikia wacharazaji vidole vyao ni hatari sana kuchezea ikulu za warembo.Zulu man hiyo yako ni hpnngapi??, USI nambie ni hp 450🤣
Nitakupatia,nitakupatia muda si mrefu.Nita I check, nipe code yako kesho niku twangie Nikiwa Huku u joblesini 😆
Aisee now I can see the real work of the devil😆.Hapana sio hiyo,unapenda kuzozana kijana.....kama hujaiona ndio basi hivyo ila ni ya jirani nimeazima nijifunzie kucharaza maneno kwa kicharazo chake maana nasikia wacharazaji vidole vyao ni hatari sana kuchezea ikulu za warembo.
Niko kwa ajili ya kuwabebea dhambi zenu nanyi mpate kuokoka.Aisee now I can see the real work of the devil😆.
Una waza ikulu za Wanawake, akati uli sema we ni cousin wa Jesus 😆.
Una sahau Jesus died as a virgin 🤣
Dhambi za nani??, akati we mwenyewe una Nuka dhambi za u hovyo 😂Niko kwa ajili ya kuwabebea dhambi zenu nanyi mpate kuokoka.
Hiyo kichwa yako haina akili ,unataka kunifananisha kama yako?🤣Dhambi za nani??, akati we mwenyewe una Nuka dhambi za u hovyo 😂
your brain has two sides, Left and right.Hiyo kichwa yako haina akili ,unataka kunifananisha kama yako?🤣
With a face like yours ya kulialia uji🤣who needs brains?But at least you make a good pair ..... your looks and wits yenye imerojeka kama ujiyour brain has two sides, Left and right.
In the left there is nothing right, in the right there's nothing left😂😁
just go to hell, cause I heard you got a face like the gorrila shit hole😂🤣With a face like yours ya kulialia uji🤣who needs brains?But at least you make a good pair ..... your looks and wits yenye imerojeka kama uji