Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,672
- 2,697
Ebu jaribu kuvuta picha, upo kwenye bustani ambayo wewe ndiye mlinzi na mtawala. Bustani ambayo, simba na wanyama wote wanakutii, wanaitikia uwaitapo kwa sababu wewe ndiye sababu ya wao kupata majina yao, hivyo, hata yule aliyekuumba ameheshimu maamuzi yako.
Ghafla yule aliyekuumba akaona uzito wa kazi yako, upweke wako ukamfikia, licha ya kupendezesha bustani aliyokupa kwa maua mazuri na mito yenye maji safi, ila hakuuona uzuri wake, akaamua kukupa usingizi mzito, ili toka ubavuni kwako apatikane atakayefanana na wewe. Akakupa msaidizi, mfariji na rafiki; lakini awali alikupa majukumu yaani; kulinda na kutunza bustani, na ikiwa utachoka, ubavu wako utakufariji, kukuliwaza, yaani mwanamke. Ni raha, asikwambie mtu, ila kwa bahati mbaya, raha hii aliisikia mwanamume mmoja tu duniani. Adam. Ambaye naye hakudumu nayo. Yule ibilisi aliyemlaghai Mwanamke, hakuwa anamtafuta Mwanamke, bali alikuwa anamtafuta Mwanamume kupitia Mwanamke. Hivyo, mlengwa ni Mwanamume.
Badae tulipokea huruma ya Mungu, tukapewa mitume, manabii na walimu. Unadhani adui yetu atapenda? Ngoja nikwambie, ziliposimama dini zote, zilimpa nguvu Mwanamume. Namaanisha ZOTE!! Adui yetu hapendi. Hata leo hii.
Unaweza kujiuliza, kwanini wanawake wanajaza makanisa lakini ndio hao wanajaza nyumba za waganga? Jibu ni rahisi, hawawezi kusimama peke yao kiroho na kama hujui hakuna mwanamke mwenye msimamo. Yeye husimamiwa kile kilichoasisiwa na kupandikiza rohoni mwake, ndio mana aneweza kumsikiliza mchungaji na mganga kuliko wewe. Hawa wamewekeza na kuikamata roho yake. Upo?
Nakuibia siri moja kwenye somo la Consuming Psychology, hii ni Saikolojia ambayo kwenye upande wa biashara inatumika kutengeneza wateja. Watu hununua bidhaa na huduma sio kwa akili zao, bali hisia (emotions) na wanawake ndiyo wateja wazuri kwa sababu ni dhaifu kihisia. Kwani si ulimtongoza? Yaani ulimshawishi! Sasa inashindikanaje asishawishike na wanaume wengine? USIOGOPE ni hivi.
Adui yako ni Globalists; hawa ni Mabepari ambao maslahi yao yanatawala dunia nzima, yawe kibiashara au kisiasa, na wao ndio wanao control mfumo wa fedha duniani, na ndio mana wanaweza kuishawishi serikali yako kufanya lolote; kikwazo pekee cha wao kutawala ni sisi wanaume, kwa sababu, kila mwanamume anataka mamlaka. Kumbuka alipewa kule awali, kulinda, kutunza na kuamua majina. Mbinu ni ile ile na haijabadilika, ili wakupate wewe, lazima wamtumie mwanamke. Kwao mwanamke sio tatizo. Kwani si unamkumbuka Dellila? Mke wa Ayubu? Hawa? Hawa kwao si tatizo, kwa sababu Mungu hakai nao, anakaa na wewe, ndio mana wao wanatumia nguvu kubwa kumtafuta kuliko wewe. Kwanza wewe mara ya mwisho kwenda kwenye nyumba ya ibada ilikuwa lini? Na wewe unadhani Mungu alikuwa wapi wakati hawa anapigwa sound?
Skia, huko Magharibi kuna watu wamewekeza kiasi cha $798 m-$1.4bn kwenye video za maudhui ya ngono (x) halafu wakakuacha wewe uangalie bure; ni nani huyu asiyetaka hela yake? Watakuja watu kukwambia wanazipata kupitia matangazo, basi nikwambie unapodhoofika wewe ndio mwanzo wa kufa kwa ndoa ambamo wewe ndiye kiranja. Kuanguka kwa ndoa ni mabilioni ya dollar. Kwanza utaingia kwenye emotional freezing, Utawatumia tu wanawake, watakosa kiranja, wataanza kurandaranda. Eeh!! Piga mchungaji tu, kondoo watatawanyika; watu watapiga hela kupitia mauzo ya dildos, vibrators, sex toys; na kwa kuwa sasa hivi unamuona mwanamke kama chombo cha ngono, fashion industry itampamba kwa kila aina ya nguo ya kukuvutia, watu watauza cosmetics za kutosha! Hivi unajua lipstic na wanja vilitumika Misri ya kale kama kiashiria cha Mwanamke aliye tayari kufanya tendo kwa mumewe? Naam! Kale kadude kana nguvu bwana. Pole sana.
Wakaona huko hapatoshi, wakakupiga na Feminism! Uliambiwa feminism ina uhusiano na gender equality? Basi umedanganywa, feminism inahusu women empowerment, lengo kuu ni “power” kumpa mamlaka mwanamke, na si usawa. Hakuna usawa kwenye mamlaka. Kupitia feminism hakuna ndoa itakayodumu, humu mitandaoni mnakutana na waraibu wengi wa ngono wanaojiita feminists. Poleni; ingawa, wengine ni wahanga wa unyanyasaji wa kijinsia unaotokana na kundi la wanaume wasioweza kuwa viranja na kusimamia mamlaka yao ipasavyo. Kwani unadhani ni wajinga kuondoa elimu ya Jando na Unyago iliyokuandaa kuwa baba/mume bora? Ona leo na ma digirii yako ya procurement and supply lakini hujui hata namna ya kuwa baba tu.
Ghafla yule aliyekuumba akaona uzito wa kazi yako, upweke wako ukamfikia, licha ya kupendezesha bustani aliyokupa kwa maua mazuri na mito yenye maji safi, ila hakuuona uzuri wake, akaamua kukupa usingizi mzito, ili toka ubavuni kwako apatikane atakayefanana na wewe. Akakupa msaidizi, mfariji na rafiki; lakini awali alikupa majukumu yaani; kulinda na kutunza bustani, na ikiwa utachoka, ubavu wako utakufariji, kukuliwaza, yaani mwanamke. Ni raha, asikwambie mtu, ila kwa bahati mbaya, raha hii aliisikia mwanamume mmoja tu duniani. Adam. Ambaye naye hakudumu nayo. Yule ibilisi aliyemlaghai Mwanamke, hakuwa anamtafuta Mwanamke, bali alikuwa anamtafuta Mwanamume kupitia Mwanamke. Hivyo, mlengwa ni Mwanamume.
Badae tulipokea huruma ya Mungu, tukapewa mitume, manabii na walimu. Unadhani adui yetu atapenda? Ngoja nikwambie, ziliposimama dini zote, zilimpa nguvu Mwanamume. Namaanisha ZOTE!! Adui yetu hapendi. Hata leo hii.
Unaweza kujiuliza, kwanini wanawake wanajaza makanisa lakini ndio hao wanajaza nyumba za waganga? Jibu ni rahisi, hawawezi kusimama peke yao kiroho na kama hujui hakuna mwanamke mwenye msimamo. Yeye husimamiwa kile kilichoasisiwa na kupandikiza rohoni mwake, ndio mana aneweza kumsikiliza mchungaji na mganga kuliko wewe. Hawa wamewekeza na kuikamata roho yake. Upo?
Nakuibia siri moja kwenye somo la Consuming Psychology, hii ni Saikolojia ambayo kwenye upande wa biashara inatumika kutengeneza wateja. Watu hununua bidhaa na huduma sio kwa akili zao, bali hisia (emotions) na wanawake ndiyo wateja wazuri kwa sababu ni dhaifu kihisia. Kwani si ulimtongoza? Yaani ulimshawishi! Sasa inashindikanaje asishawishike na wanaume wengine? USIOGOPE ni hivi.
Adui yako ni Globalists; hawa ni Mabepari ambao maslahi yao yanatawala dunia nzima, yawe kibiashara au kisiasa, na wao ndio wanao control mfumo wa fedha duniani, na ndio mana wanaweza kuishawishi serikali yako kufanya lolote; kikwazo pekee cha wao kutawala ni sisi wanaume, kwa sababu, kila mwanamume anataka mamlaka. Kumbuka alipewa kule awali, kulinda, kutunza na kuamua majina. Mbinu ni ile ile na haijabadilika, ili wakupate wewe, lazima wamtumie mwanamke. Kwao mwanamke sio tatizo. Kwani si unamkumbuka Dellila? Mke wa Ayubu? Hawa? Hawa kwao si tatizo, kwa sababu Mungu hakai nao, anakaa na wewe, ndio mana wao wanatumia nguvu kubwa kumtafuta kuliko wewe. Kwanza wewe mara ya mwisho kwenda kwenye nyumba ya ibada ilikuwa lini? Na wewe unadhani Mungu alikuwa wapi wakati hawa anapigwa sound?
Skia, huko Magharibi kuna watu wamewekeza kiasi cha $798 m-$1.4bn kwenye video za maudhui ya ngono (x) halafu wakakuacha wewe uangalie bure; ni nani huyu asiyetaka hela yake? Watakuja watu kukwambia wanazipata kupitia matangazo, basi nikwambie unapodhoofika wewe ndio mwanzo wa kufa kwa ndoa ambamo wewe ndiye kiranja. Kuanguka kwa ndoa ni mabilioni ya dollar. Kwanza utaingia kwenye emotional freezing, Utawatumia tu wanawake, watakosa kiranja, wataanza kurandaranda. Eeh!! Piga mchungaji tu, kondoo watatawanyika; watu watapiga hela kupitia mauzo ya dildos, vibrators, sex toys; na kwa kuwa sasa hivi unamuona mwanamke kama chombo cha ngono, fashion industry itampamba kwa kila aina ya nguo ya kukuvutia, watu watauza cosmetics za kutosha! Hivi unajua lipstic na wanja vilitumika Misri ya kale kama kiashiria cha Mwanamke aliye tayari kufanya tendo kwa mumewe? Naam! Kale kadude kana nguvu bwana. Pole sana.
Wakaona huko hapatoshi, wakakupiga na Feminism! Uliambiwa feminism ina uhusiano na gender equality? Basi umedanganywa, feminism inahusu women empowerment, lengo kuu ni “power” kumpa mamlaka mwanamke, na si usawa. Hakuna usawa kwenye mamlaka. Kupitia feminism hakuna ndoa itakayodumu, humu mitandaoni mnakutana na waraibu wengi wa ngono wanaojiita feminists. Poleni; ingawa, wengine ni wahanga wa unyanyasaji wa kijinsia unaotokana na kundi la wanaume wasioweza kuwa viranja na kusimamia mamlaka yao ipasavyo. Kwani unadhani ni wajinga kuondoa elimu ya Jando na Unyago iliyokuandaa kuwa baba/mume bora? Ona leo na ma digirii yako ya procurement and supply lakini hujui hata namna ya kuwa baba tu.