Jiwe yu wapi?

Hv watu wote mnakaa mnamuamini chahali mtu wa kitengo hata mkorofishe VP hawez mwaga mchele kihasara watu kama chahali wakitekwa hata mwanamke wanamwaga kila jambo LA kitengo ni mtu wa kuotea jambo na kutaka kufahamu kitu kutoka kwa watu ili apate ABC ya jambo husika
 
jamani tuwe wakweli hivi kama kweli kama serikali ingevifunga mdomo vyombo vyo habari hivi tungekuwa na uhuru wa kujadiliana humu na kuisema serikali? tuachaneni na mijitu kama kina Chahali lowezi la ulaya ambalo limekata tamaa ya maisha,
 
Anapiga ramli chonganishi....Nakubaliana nawe
 
jamani tuwe wakweli hivi kama kweli kama serikali ingevifunga mdomo vyombo vyo habari hivi tungekuwa na uhuru wa kujadiliana humu na kuisema serikali? tuachaneni na mijitu kama kina Chahali lowezi la ulaya ambalo limekata tamaa ya maisha,

Ukiacha humu JF ni wapi pengine ambapo watu wanajadili kwa uwazi?

Hujasikia kesi za FB?
 
Evarist,
Swali la mwisho kwangu imekuwa ni tungo Tata.... Can you put more lighton it pse?
 

Yes, this is the Voice of LUCIFER original from HELL.
Jiwe is the messenger from Hell....but he gonna be defeated immensely!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…