Jiulize shule ya msingi uliyosoma ina hali gani?

Jiulize shule ya msingi uliyosoma ina hali gani?

Yangu iko poa sana..

Na nimempeleka mwanangu anasoma pale.

Walimu na wazazi wana chemistry nzuri..

Walimu wana ari ya ufundishaji, na wazazi nao wana ushirikiano inapohitajika kutoa chochote basi hawana hiyana.

Na siri kubwa ya shule kufanya vizuri na watoto kupata elimu bora huwa ni walimu na wazazi kuwa wamoja tu.
 
Kama ni gov school, iulize serikali yako kwanini kila mwaka inanunua v8 mpya kwa kodi zenu ilhali hadi ujenzi wa vyoo inategemea msaada wa hisani?

Kama ni private, ni jukumu la wamiliku kumaintain shule yao.

The alumni endowment is a commendable initiative, and I have no problem kuchangia shule zangu ila kama unavyojua upigaji bongo. Kwanza mchango wa shule ni lazima uende Dodoma ndo urudi shuleni kwako. Nchi ina mfumo wa kipumbavu sana.
 
Mchango wa ukarabati tunalipa kila siku kwenda TRA sina dhambi wala madeni kabisa.
 
Shule niliyosoma IPO mjini kabisa sidhan kama serikali itaruhusu iwe na Hali mbaya ni shule maarufu sana mkoa x na IPO na mazingira Bora nadhan ni sababu IPO barabaran mjini
 
Shule niliyosoma IPO mjini kabisa sidhan kama serikali itaruhusu iwe na Hali mbaya ni shule maarufu sana mkoa x na IPO na mazingira Bora nadhan ni sababu IPO barabaran mjini
Haaaaahaaaaa wapi hiyo ?
Ikiwa ni Bunge Shule ya Msingi nenda pale hata Wikiendi utajua hujui.
 
Habari Tanzania !

Leo nimewaza sana. Inakuwaje Shule ya Msingi uliyosoma wewe mazingira uliyoyaacha mpaka leo yapo hivyo hivyo na mengine yameharibika kwa nini?

Inauma sana.

Karibu
Hujui kama kodi zinatumika isivyo hata kugharimia nyonya damu?
Shule ya msingi ITIMBYA wilayani mbogwe ndipo nilipomaliza shule ya msingi mwishoni mwa miaka ya 90 binafsi kwa sasa shule iko na mazingira bora sana kuliko miaka hiyo
Basi inawezekana hiyo haikunyonwa damu!
 
Ununio SM, ipo poa sana, ilikuwa haina uzio geti ila kwa sasa ipo kati... Tatizo matukio hayaishi.
 
Ununio SM, ipo poa sana, ilikuwa haina uzio geti ila kwa sasa ipo kati... Tatizo matukio hayaishi.
Shule ya Msingi Wailesi - Temeke hiyo. Zamani walikuwa na Ukuta nini mambo mazuri. Ila kwasasa noma
 
Shule nilivyosoma ni Bora zaidi kuliko nilivyoiacha,shule imezungukwa na maofisi yote ya serikali hawawezi kuiacha mbovu,
 
Back
Top Bottom