Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,440
- 1,645
- Thread starter
- #21
Kwa Dar ni shule ipo ambayo haijazungukwa na maofisi mbalimbali ?Shule nilivyosoma ni Bora zaidi kuliko nilivyoiacha,shule imezungukwa na maofisi yote ya serikali hawawezi kuiacha mbovu,
Haaaaahaaaaa hiyo ni kanyaga twende.
Labda ulisomea International School of Tanganyika. Haaaaahaaaaa